Zanzibar wanazalisha hiyo sukari wapi mkuu!Kwanza sukari inalimwa wapi? Pili ukiritimba usioshirikisha efficiency bora ufe. Sukari zanzibar kilo ni shs 500 wakati hapa dar ni 3000. Lakini serikali haitaki sukari ya zanzibar iuzwe bara
Profesa aliyeokotwa Jalalani!Kabudi aliambiwa na Magu wewe ni mkubwa kwangu kiumri lkn ni mpumbavu,kabudi kwa unyenyekevu kabisa akasimama akakisujudia kiti cha urais,akashukuru na akakaa kwa heshima kabisa.
Tumbo likihamia kichwwni ni soooo.
Labda atatoka uteuzi mpya X Mass huwa kuna zawadiWaziri aliyeambiwa nonesense bado tu ni waziri? Kweli njaa mbaya