Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,756
😍Safi sana mama hatuwezi kuwa na mavibanda vibanda tu Kila kona, miji haieleweki yaan mtu anajiamulia tu ajenge wapi kibanda. Vibanda vingine mifuko ya plastiki yaan ni vurugu tupu.
😍Safi sana mama hatuwezi kuwa na mavibanda vibanda tu Kila kona, miji haieleweki yaan mtu anajiamulia tu ajenge wapi kibanda. Vibanda vingine mifuko ya plastiki yaan ni vurugu tupu.
Atajitisha nafsi yake tu kwa miaka 9....🤣🤣Acha kumtisha Mh.Rais...muache achape kazi.
🤣🤣Cool down Komredi....Mwacheni si anaupiga mwingi! Na hao wageni ndio wamempa urais sawa acha awafurahishe wageni, si wanampa pesa za bure.
Hakika 😍💪Mama watakuelewa tuu, ni suala la muda.
Mimi nikiwaambiaga huyu mama ni afadhari arudi tuu kwao huko Zanzibar au Omani mnaniona mbaguzi. Haya Sasa oneni wenyewe ni mama gani au mzazi gani anaweza wafukuza wanawe nyumbani ili apokee wageni?
Mama asithamini sana Wageni akatusahau wazawa. Awe mzalendo na sio kila kitu anawaza kumfurahisha Mzungu tu
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Ndio katiba imemchagua. Hajachaguliwa na wananchi. Kwa hiyo yuko huru kuwatumikia wageni ambao wanampa pesa za bure kuliko kuwatumikia ambao hawajamchagua.🤣🤣Cool down Komredi....
Wageni huwaepuki wewe....
Mh.Rais SSH amechaguliwa na KATIBA bwasheee.....
Siempre JMT
Mama gani ambaye anawaacha wanawe waishi na kutafuta bila ya UTARATIBU NA KANUNI ZA MAISHA?!!!Mimi nikiwaambiaga huyu mama ni afadhari arudi tuu kwao huko Zanzibar au Omani mnaniona mbaguzi. Haya Sasa oneni wenyewe ni mama gani au mzazi gani anaweza wafukuza wanawe nyumbani ili apokee wageni?
Wageni wa Glasgowaisee sidhani kama alimaanisha labda kama alikuwa anatania.... na ni wageni gani hao walikuwa wana waogopa machinga?
Aiseeee noma sana
Katiba ndiyo yenye haki za hao wananchi....Katiba iko juu ya vichwa vyetu......Ndio katiba imemchagua. Hajachaguliwa na wananchi. Kwa hiyo yuko huru kuwatumikia wageni ambao wanampa pesa za bure kuliko kuwatumikia ambao hawajamchagua.
Ni mawazo ya kijinga sana kufanya jambo eti wageni. Utaliona jitu linajivalisha manguo ya ajabu na kufuga manywele ya ajabu, ukimuuliza anakwambia eti culture -- wazungu wanapenda culture!!! Pumbavu.Zanzibar inayofurika wageni iko wapi?
Naunga mkoni hoja!
Mwache mama apmbane tu, hii nchi inabidi ipitie mchakato mkubwa sana kujitegemea. Jamn Tanzania kujitegemea bado sana tulishakosea tokea enzi hizo.Ndio katiba imemchagua. Hajachaguliwa na wananchi. Kwa hiyo yuko huru kuwatumikia wageni ambao wanampa pesa za bure kuliko kuwatumikia ambao hawajamchagua.
WamachingaNani aliiuguza.....maana mwenda sake naye alisema imechezewa
Mama asithamini sana Wageni akatusahau wazawa. Awe mzalendo na sio kila kitu anawaza kumfurahisha Mzungu tu
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Nilimsikiliza jana nikasema hii bhagosha😂😂😂
Mama asithamini sana Wageni akatusahau wazawa. Awe mzalendo na sio kila kitu anawaza kumfurahisha Mzungu tu
Sent from my TECNO P704a using JamiiForums mobile app
Nilisema zamani kuwa kwasasa tunaongozwa na mwana NGOs. Kila mara utasikia tuandae mradi tuwaombe wenzetu watusaidie. Hutasikia tena tunaweza