Rais Samia: Tumewaondoa Wamachinga kwasababu Wageni Wanaogopa Kuja Tanzania

Kweli ulichosikia kwenye hayo aliyoyasema ni kuhusu wageni tu?Mbona hujaandika kuhusu mipango ya kuweka mazingira mazuri ya kufanya kazi?Kujenga upya soko la Kariakoo lililoungua na kujenga sehemu 2300 za kufanyia biashara kukiwa na maji na vyoo?Hujataja kuhusu kuwaunga mkono wafanyabiashara wadogo kwa kuweka mazingira mazuri ya kufanya kazi na kuwapa mikopo.Tuache utamaduni wa kulaumu kwa ajili ya kulaumu tu.Tulete solutions. Kulaumu bila kuweka kipi kifanyike ni dalili ya kufilisika kifkra.
 
Mwambieni tunashukuru kwa kutudharaulisha kwenye nchi yetu kwa thamani ya ya misaada na mikopo kama walivyopewa masharti na hao wageni wake.

Kwa kuwa ameweka bayana kwamba yeye ndiye aliyebariki unyanyasaji wa wananchi ambao ndio waajiri wake basi aanze kufungasha virago kutoka kwenye ofisi ya umma.

Hapo amethibitisha kwamba hata kipindi JPM analalamika kuhujumiwa na wapinzani na kuchelesha maendeleo tatizo halikuwa wapinzani bali wasaidizi wake ndio waliokuwa wanamkwamisha kwa makusudi ambayo ndiyo haya yanawekwa wazi kwa wananchi kujua ni kwanini wanafukuzwa kama waharifu kwenye nchi yao.

Ufalme tayari umejidhihirisha kwamba umefitinika na kwamba wageni ndio watamchagua kuwa rais tena!!!
Lini nchi hii haikuwahi kuwategemea wageni kwa MIKOPO NA MISAADA?!!!!

Wakati mwingine tunaweza kudhani "siasa za kizalendo" ndizo nguzo ya kutukomboa....kumbe ni "kelele nyingi tu zinazomchanganya mbwa".....

Dunia ilipofikia hatuwezi kujifungia na kujitenga na dunia......

Huko China balozi wetu mh.Komredi Mbelwa Kairuki anaturai tuongeze nguvu katika kilimo cha kahawa kwani masoko yamejaa tele......

SIEMPRE JMT
NCHI KWANZA
 
EJXU.jpg
 
Hii awamu ya SIKISI tumepigwa.

Yaani huyo Bibi kilemba anafurahia kuwaona wageni wakifanya umachinga huku mitaani ili hali wazawa tunaonekana kuwa tishio kwa wageni siyo eeeg!???
Mfano, Dar es Salaam na Mwanza kuona wamachinga wa kigeni (Waturuki, Wachina na Wasomali) imekuwa kawaida sana.

Huyu Bibi ndicho anakifurahia!?
Tunazidi kupigwa.
 
Hii awamu ya SIKISI tumepigwa.

Yaani huyo Bibi kilemba anafurahia kuwaona wageni wakifanya umachinga huku mitaani ili hali wazawa tunaonekana kuwa tishio kwa wageni siyo eeeg!???
Mfano, Dar es Salaam na Mwanza kuona wamachinga wa kigeni (Waturuki, Wachina na Wasomali) imekuwa kawaida sana.

Huyu Bibi ndicho anakifurahia!?
Tunazidi kupigwa.
Isisahaulike kazi ya serikali ni kusimamia mizani ya uchumi wa nchi....

Serikali inahitaji KODI....

SIEMPRE JMT!
 
Hata mimi ninaetoka Mkoani ni mgeni pia
Sasa nimekuja kwa mara ya kwanza Jiji la Dar kweli ule mkusanyiko na wamachinga walivyo nitaacha kuogopa kweli
Sio kila mgeni ni mzungu
 
Hii awamu ya SIKISI tumepigwa.

Yaani huyo Bibi kilemba anafurahia kuwaona wageni wakifanya umachinga huku mitaani ili hali wazawa tunaonekana kuwa tishio kwa wageni siyo eeeg!???
Mfano, Dar es Salaam na Mwanza kuona wamachinga wa kigeni (Waturuki, Wachina na Wasomali) imekuwa kawaida sana.

Huyu Bibi ndicho anakifurahia!?
Tunazidi kupigwa.
Hivi hawa waturuki wanaotuletea vyombo vya ndani hadi maofisini na wenyewe wanachukuliwa kama wawekezaji, iweje wazawa wanafurushwa kwamba wanatia aibu kwa wageni ili hali waturuki, wachina hawana mtaji unaowafanya kuitwa wawekezaji badala yake wanafanya umachinga......hii inanifanya nikumbuke sera ya uzawa aliyotaka kuileta hayati Idd Simba, kumbe wazawa wanatakiwa wafungiwe mahala wasiwatishe na kuwabuguzi wageni na kuaibisha watawala kwa wageni wao wa kibeberu......​
 
Kwajinsi walivyokuwa wamekaa hovyo ni lazima wapangwe ila kauli ya kusema kwaajili ya wageni sidhani Kama ni sahihi!..
Mwacheni si anaupiga mwingi! Na hao wageni ndio wamempa urais sawa acha awafurahishe wageni, si wanampa pesa za bure.
 
Jibu swali pamoja na Zanzibar kuwa na wageni wengi imeendelea kwa kiasi gani?
Jibu lipo ndani ya hilo swali nililokuuliza sema huoni...

Kama kila mapato yangeendeleza sehemu yanapotoka tu, Arusha na KLM ingekuwa mbali sana sababu ya utalii.

Mapato ya zanzibar yamesimama wapi katika muungano?
 
Safi sana mama hatuwezi kuwa na mavibanda vibanda tu Kila kona, miji haieleweki yaan mtu anajiamulia tu ajenge wapi kibanda. Vibanda vingine mifuko ya plastiki yaan ni vurugu tupu.
 
Back
Top Bottom