Rais Samia Suluhu umezingatia ushauri wangu kuhusu Ridhwani Kikwete

Lady Mwali

Senior Member
Nov 15, 2018
147
332
Napenda kutanguliza shukrani zangu kwa mtukufu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumteua Ridhwani Kikwete kuwa naibu wa Wazara ya Nyumba na Makazi.

Mh.Rais umeonesha uzalendo wa hali ya juu kukumbuka mchango wa Mh.Rais JK Kikwete katika nchi hii.

Kipindi cha uongozi wa Mwendazake mh.Ridhwani Kikwete alisaulika ingawa alijitolea kutetea maisha ya wananchi wa Chalinze anaowakilisha bungeni.

Mh.Rais Samia ,wewe mtukufu umemkumbuka mh.Ridhwani kwa kumpa Unaibu waziri ambao wakati wa Magufuli hawakumfikiria.

Siku za nyuma nilipost andiko la l
Kutaka Ridhwani Kikwete awe Rais baada ya Samia Suluhu.

Nawasilisha
 
Napenda kutanguliza shukrani zangu kwa mtukufu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumteua Ridhwani Kikwete kuwa naibu wa Wazara ya Nyumba na Makazi.

Mh.Rais umeonesha uzalendo wa hali ya juu kukumbuka mchango wa Mh.Rais JK Kikwete katika nchi hii.

Kipindi cha uongozi wa Mwendazake mh.Ridhwani Kikwete alisaulika ingawa alijitolea kutetea maisha ya wananchi wa Chalinze anaowakilisha bungeni.

Mh.Rais Samia ,wewe mtukufu umemkumbuka mh.Ridhwani kwa kumpa Unaibu waziri ambao wakati wa Magufuli hawakumfikiria.

Siku za nyuma nilipost andiko la l
Kutaka Ridhwani Kikwete awe Rais baada ya Samia Suluhu.

Nawasilisha
huna hata mshipa wa aibu
 
Napenda kutanguliza shukrani zangu kwa mtukufu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kumteua Ridhwani Kikwete kuwa naibu wa Wazara ya Nyumba na Makazi.

Mh.Rais umeonesha uzalendo wa hali ya juu kukumbuka mchango wa Mh.Rais JK Kikwete katika nchi hii.

Kipindi cha uongozi wa Mwendazake mh.Ridhwani Kikwete alisaulika ingawa alijitolea kutetea maisha ya wananchi wa Chalinze anaowakilisha bungeni.

Mh.Rais Samia ,wewe mtukufu umemkumbuka mh.Ridhwani kwa kumpa Unaibu waziri ambao wakati wa Magufuli hawakumfikiria.

Siku za nyuma nilipost andiko la l
Kutaka Ridhwani Kikwete awe Rais baada ya Samia Suluhu.

Nawasilisha
Kuendako hisani, hurudi hisani

Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app
 
Nyoka sio lazima azae Nyoka

Jk hana Mtoto mwenye vipaji vyake

Huyu Gwiji wa Siasa huenda ndio Mwanasiasa aliekumbana na vikwazo vingi zaid kwny harakati zake za Kisiasa na vyote sio tu akavivuka bali pia alivishinda

Kwa Ufupi akiwa na only 45 alimzidi Ushawishi hadi Rais Mstaafu na Baba wa Taifa Mzee Julius Kambarage Nyerere kwny NEC na Mkutano Mkuu wa Ccm kule Kizota Dodoma hadi ikabidi itumike mbinu za 'kilingeni' kumtangaza Benjamin Mkapa 1995

Nikimuangalia age ya Ridh one kwa sasa na alivyokuwa babake akiwa na Umri wake naona tofauti kubwa sana kwmy weledi na uzoefu
 
Back
Top Bottom