Hafai kuwa kiongozi hata kidogo
 
tenda mazuri 100 kwa binadam ila ukitenda moja baya linaharibu 100 yote ya mwanzo. Swala la tozo halikutakiwa kuwepo from the start na mfumuko wa bei nao it's another issue unmanaged
 
Uzuri wake apeleke kwa mumewe (sisi hautuhusu), sisi tunataka Rais anayetenda haki na kuheshimu katiba, vitu ambavyo Samia hana.

Tuna rais wa ajabu ajabu mnoo.
Rais SSH anatenda haki na kuheshimu Katiba. Hilo halina mjadala
 
DUNIANI KOTE HAKUNA MTU MBAYA ni Roho na Moyo ndio huwa MBAYA
 
Uzuri wake apeleke kwa mumewe (sisi hautuhusu), sisi tunataka Rais anayetenda haki na kuheshimu katiba, vitu ambavyo Samia hana.

Tuna rais wa ajabu ajabu mnoo.
Usikunje uso wako na moyo wako wakati wote unapofikiri kuhusu jambo fulani. Be very Objective and balanced
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…