Rais Samia ni mtu kwelikweli

Rais Samia ni mtu kwelikweli

Beesmom

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
37,365
Reaction score
91,920
Mkiniita chawa ni poa tu maana anayenipandisha daraja Kwa Kazi ni yeye. Kuna mtu atasema kupanda daraja ni haki yako lakini atajisahau kuwa ndani ya haki hii Kuna bossdume alitubania balaa.

Ni hivi, siku ya wanawake tar 8/3. Jana hiyo hotuba ya mama kama uliisikiliza vyema anataka amani nchi iwe na amani anakuambia hivi mbali na Russia & Ukraine kuamua kupigana lakini mwisho wa siku watatengeneza amani Kwa njia ya mazungumzo, maridhiano, amani huja kwa kukaa na kuzungumza. Aisee, nimependa.

Maana anajua hata tukigombana tutakaoumia ni sisi digidigi.

Nakupenda mama
 
Mkiniita chawa ni poa tu maana anayenipandisha daraja Kwa Kaz ni yeye.....Kuna mtu atasema kupanda daraja ni haki yako....lakin atajisahau kuwa ndani ya haki hii Kuna bossdume alitubania balaa....

Ni hivi,siku ya wanawake tar 8/3...Jana hiyo....hotuba ya mama kama uliisikiliza vyema....anataka amani...nchi iwe na aman....anakuambia hivi Mbali na Russia & Ukraine kuamua kupigana lakini mwisho wa siku watatengeneza amani Kwa njia ya mazungumzo,maridhiano,amani huja Kwa kukaa na kuzungumza.Aisee,nimependa.

Maana anajua hata tukigombana tutakaoumia ni sisi digidigi.Nakupenda mama
Hapo kwenye faraja umekazia kweli😀😀
 
Mkiniita chawa ni poa tu maana anayenipandisha daraja Kwa Kaz ni yeye.....Kuna mtu atasema kupanda daraja ni haki yako....lakin atajisahau kuwa ndani ya haki hii Kuna bossdume alitubania balaa....

Ni hivi,siku ya wanawake tar 8/3...Jana hiyo....hotuba ya mama kama uliisikiliza vyema....anataka amani...nchi iwe na aman....anakuambia hivi Mbali na Russia & Ukraine kuamua kupigana lakini mwisho wa siku watatengeneza amani Kwa njia ya mazungumzo,maridhiano,amani huja Kwa kukaa na kuzungumza.Aisee,nimependa.

Maana anajua hata tukigombana tutakaoumia ni sisi digidigi.Nakupenda mama
Nice
 
Mkiniita chawa ni poa tu maana anayenipandisha daraja Kwa Kaz ni yeye.....Kuna mtu atasema kupanda daraja ni haki yako....lakin atajisahau kuwa ndani ya haki hii Kuna bossdume alitubania balaa....

Ni hivi,siku ya wanawake tar 8/3...Jana hiyo....hotuba ya mama kama uliisikiliza vyema....anataka amani...nchi iwe na aman....anakuambia hivi Mbali na Russia & Ukraine kuamua kupigana lakini mwisho wa siku watatengeneza amani Kwa njia ya mazungumzo,maridhiano,amani huja Kwa kukaa na kuzungumza.Aisee,nimependa.

Maana anajua hata tukigombana tutakaoumia ni sisi digidigi.Nakupenda mama
Ukraine na Urusi watapigana weeee....watauana wee lakini at the end ni maridhiano yatakayowafanya waache vita.

Tulichelewa sana kumpata Mama.
 
Joke aside, Rais Samia ni bora kuliko wenzake wengi, kwanza walimpa kazi ya bure kuanza kujenga amani kwanza, angeanza majukumu anakuta tuna amani tayari angejenga uchumi moja kwa moja,
 
Back
Top Bottom