Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,465
- 23,729
Nikikumbuka tulikotoka,ugumu wa maisha kisiasa na uhalisia wa maisha ya mtu mmoja mmoja,nashawishika kumkubali Samia hadharani bila hata haya wala soni.
Watanzania tuna mengi ya kuridhika kupitia huyu mama kwa kuangalia rekodi za hapo nyuma,ambapo watu wengine waliishi kwa hofu, kutokana pengine na itikadi zao, misimamo tofauti na pengine hata chuki binafsi.
Aidha nakubaliana nae juu ya mabadiliko kadhaa ya sheria zetu zinazohusu namna bora ya uendeshaji siasa zetu,na kwa kweli huu ni mwanzo mzuri kwa demokrasia yetu.Hongera Rais,ni mwanzo mzuri.
Chawa?Mbona walikufa kwenye maji ya moto?Bima ya afya unayoitaka umechangia kiasi gani?Miundombinu bora?Ulipata ajali ya guta lini?Sera nzuri za biashara kuizidi USA au hutaki kulipa ushuru,kodi,tozo nk?Unataka uishi Glasgow ukiwa Kazuramimba?Maisha ni hatua.Unataka kumi haujafika tatu?Ooohooo!Kumbe hapa naongea na chawa pro Max..!
Watanzania hatutaki hiko ulichokitaja
Tunahitaji uhakika wa bima ya afya nzuri, Utawala bora usio na Ufisadi wala rushwa
Miundombinu bora sio kila siku barabara zinatifuliwa bila mpango maalum kutuletea vumbi tuumwe TB
Sera nzuri za biashara ikiwemo kodi kusaidia biashara na uchumi kukuu
Hatutaki habari za mama anaupiga mwingi, pesa kuwapa Simba na Yanga huku Wakulima wanalia kila siku
Nchi imefilisika ndo katuponya? Watu wamevuruga mfumo wa ukusanyaji kodi hadi TRA wamebaki hawana kazi.Nikikumbuka tulikotoka,ugumu wa maisha kisiasa na uhalisia wa maisha ya mtu mmoja mmoja,nashawishika kumkubali Samia hadharani bila hata haya wala soni.
Watanzania tuna mengi ya kuridhika kupitia huyu mama kwa kuangalia rekodi za hapo nyuma,ambapo watu wengine waliishi kwa hofu, kutokana pengine na itikadi zao, misimamo tofauti na pengine hata chuki binafsi.
Aidha nakubaliana nae juu ya mabadiliko kadhaa ya sheria zetu zinazohusu namna bora ya uendeshaji siasa zetu,na kwa kweli huu ni mwanzo mzuri kwa demokrasia yetu.Hongera Rais,ni mwanzo mzuri.
Viashiria vya nchi kufilisika hadi mimi niliye hapa Suruti Namtumbo nielewe ni vingapi na vikoje?Nchi imefilisika ndo katuponya? Watu wamevuruga mfumo wa ukusanyaji kodi hadi TRA wamebaki hawana kazi.
Unasema usiyoyajua. Nchi imeuzwa hii. Tutamkumbuka Ndugai.
Hivi wewe ni meya kweli au mkusanyaji wa michango ya misiba mtaani?Ukikuwa utaelewa watu walewale waliokuwa wakiongoza vita ya kumtukana Magufuli ndio hao hao wanaomtukana Samia.
Shida yao kwasasa ni moja tu Makonda atolewe serikalini, hayo matusi yameanza baada ya ugomvi unaodaiwa wa GSM na Makonda.
Walitegemea Makonda atemwe, kaishia kupewa ukuu mkoa sio rocket science kujua ni hakina nani wapo nyuma ya hayo matusi.
Halafu ‘bi-tozo’ siku ya baraza la Eid alirusha kijembe cha kukwepa kodi kutumia mfano wa kiongozi wa serikali Zanzibar kusaidia kutorosha karafuu kimagendo. Mlengwa ni mstaafu ambae biashara zake zinaendeshwa na watu wengine ambao ni maarufu kwa kukwepa kodi.
Huu ni mtihani wa ‘bi-tozo’ anataka kubaki kuwa remote yao watu wasioridhika; au ni muda wa kuendesha nchi kwa kichwa chake kupitia ushauri wa wataalamu wa serikali.
Kazi kwake, uzuri ni kwamba Nchimbi akiwaamulia wa korofi anawamudu (mama nae technical), ni kama mtu alishajiandaa kwa vita.
Unamwambia nani?Nikikumbuka tulikotoka,ugumu wa maisha kisiasa na uhalisia wa maisha ya mtu mmoja mmoja,nashawishika kumkubali Samia hadharani bila hata haya wala soni.
Watanzania tuna mengi ya kuridhika kupitia huyu mama kwa kuangalia rekodi za hapo nyuma,ambapo watu wengine waliishi kwa hofu, kutokana pengine na itikadi zao, misimamo tofauti na pengine hata chuki binafsi.
Aidha nakubaliana nae juu ya mabadiliko kadhaa ya sheria zetu zinazohusu namna bora ya uendeshaji siasa zetu,na kwa kweli huu ni mwanzo mzuri kwa demokrasia yetu.Hongera Rais,ni mwanzo mzuri.
Sijui hii tabia kwanini inazidi Kuota mizizi kwenye jamii ya watanzaniaHizi tabia za uchawa hata mama zimesha mkera mkuu.
Zamani tuliwaita wapambe, na walikua wakisha sifia kama wewe ulivyo fanya hapa, walikua wanaweka na namba za sim ili wakumbukwe..
Jadili madaHivi wewe ni meya kweli au mkusanyaji wa michango ya misiba mtaani?
Inawezekana unafamilia na unaitwa Baba!!!!!!Nikikumbuka tulikotoka,ugumu wa maisha kisiasa na uhalisia wa maisha ya mtu mmoja mmoja,nashawishika kumkubali Samia hadharani bila hata haya wala soni.
Watanzania tuna mengi ya kuridhika kupitia huyu mama kwa kuangalia rekodi za hapo nyuma,ambapo watu wengine waliishi kwa hofu, kutokana pengine na itikadi zao, misimamo tofauti na pengine hata chuki binafsi.
Aidha nakubaliana nae juu ya mabadiliko kadhaa ya sheria zetu zinazohusu namna bora ya uendeshaji siasa zetu,na kwa kweli huu ni mwanzo mzuri kwa demokrasia yetu.Hongera Rais,ni mwanzo mzuri.
Binafsi nilikuwa na matumaini makubwa sana kwake.Mwanzoni kila mtu alikua na imani nae
Watu walimpenda na kumpa support
Tulimpa nafasi aonyeshe uwezo wake lakini kazingua...!
Kila sekta kairudisha nyuma mara 10
Niache kuruka mfereji kwa sababu nimeambiwa nitembee?Utembee wakati wa kuruka?Jadili mada
Wote walikuwa ofisi moja sasa hapo kuna jipi jipya?Lakini,ameandika neno ujue!Unayakumbuka yale maisha wakati tupo na kibaka yule?Hadi kila mtu alisema .."I quit this horrible life"..!
Labda mzima wa Mzirankende tuArudi Mzirankende,au siyo?
Kuwa pamoja si kuwa wamoja.Wote walikuwa ofisi moja sasa hapo kuna jipi jipya?
Unamrudisha Dab ofisini?
Wewe ni CHAWA CHAWAMimi ni mzalendo tu,sina uchawa wala chama cha siasa.Na kwa kweli sina sababu za kutafuta sijui uchawa wala teuzi.
Anaharibu nchi.Nikikumbuka tulikotoka,ugumu wa maisha kisiasa na uhalisia wa maisha ya mtu mmoja mmoja,nashawishika kumkubali Samia hadharani bila hata haya wala soni.
Watanzania tuna mengi ya kuridhika kupitia huyu mama kwa kuangalia rekodi za hapo nyuma,ambapo watu wengine waliishi kwa hofu, kutokana pengine na itikadi zao, misimamo tofauti na pengine hata chuki binafsi.
Aidha nakubaliana nae juu ya mabadiliko kadhaa ya sheria zetu zinazohusu namna bora ya uendeshaji siasa zetu,na kwa kweli huu ni mwanzo mzuri kwa demokrasia yetu.Hongera Rais,ni mwanzo mzuri.
Nani tena alikua anapiga cha ukucha? Maana nasikia Mange kampakaza kinyesi bimaza kwamba eti ana mashine ya kusaga na kukoboa wewe unakubariana nae?Kwani ni nani huwa hakumbuki alivyopiga punyeto ingawa alijifucha?
Hatari.Watu wanapiga puchu hadi wakitembea mikono inakuwa kama wanafanya rap-katuni!Nani tena alikua anapiga cha ukucha?