The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,207
- 103,092
Binti unawaza wanaume tu eeh! Ukiachika sijui ndio utakuja kufungua thd ya kulia lia humu.Ya mumeo ikoje mkuu?
Binti unawaza wanaume tu eeh! Ukiachika sijui ndio utakuja kufungua thd ya kulia lia humu.Ya mumeo ikoje mkuu?
Hakuna shinda aunt yanguBinti unawaza wanaume tu eeh! Ukiachika sijui ndio utakuja kufungua thd ya kulia lia humu.
Unaweza kuta wewe hapo hata asubuhi hujapata chai lakini una bundle la kutukana watu mitandaoni.Unaweza kukuta mtu kama wewe hata kuiongoza familia yako tu ya mke mmoja na mtoto mmoja imekushinda.
She is just remotely controlledNimeuona utofauti wa Rais Samia kwenye suala la Uwekezaji hana mchezo nalo kabisa.
Hapa Oman amekuja na documentary kabisa yenye full presentation ya maeneo ya kuwekeza ana Profile kabisa ya Tanzania.
Kwa Muwekezaji anachagua eneo ambalo linamvutia anakwenda kuwekeza na mambo yanafanyika.
Hana siasa nyingi ni matokeo tu na hivi ndivyo Dunia inavyokwenda.
pumba tu hizi, imperialism ipo ya kutosha. Kuna nchi africa hii ambazo benki kuu zao ni tawi la benki kuu ya ufaransa.Unaishi dunia gani wewe?
Mpaka leo unaamini kuna beberu kwenye karne ya 21 chini ya globalization?
Unawaita mabeberu wakija kufungua mashamba hapa nchini watatoka na kibarua huko makwao au watachukua wa hapahapa kwetu?
Mnawaita majina mabaya wakati watuwenu wanamaliza shule hamuwaajir? Wakija na technology siyo faida kwa nchi?
Hawatanunua kuku kutoka kwa babu yako kijiji cha jirani??
pumba tu hizi, imperialism ipo ya kutosha. Kuna nchi africa hii ambazo benki kuu zao ni tawi la benki kuu ya ufaransa.
Sisi kutumia shilingi kama thamani ya fedha yetu ni ubeberu wa kutosha, shilingi ndo fedha yenye thamani ndogo sana kwenye mtiririko wa fedha duniani.