Sasa kama Marehemu alimtambulisha kote Dr. Fatuma, huyo mwingine anatokea wapi? Kwa nini hakujitokeza wakati Dr. Fatuma anatambulishwa, na kubisha kama yeye ndio Mke halali? Kwa nini mtu asubiri mtu afe, kisha ajitokeze? Ni muda sasa kwa Wanasheria kuyaangalia haya mambo...