Rais Samia: "Lipeni Vijitozo Serikali Ifanye Maendeleo Nchini"

Rais Samia: "Lipeni Vijitozo Serikali Ifanye Maendeleo Nchini"

Idadi ya chini kabisa msafara una gari 140.
Kwa idadi hiyo ya magari, chukua gari 110 halafu let’s assume kwamba gari hizo 110 kila moja ilibeba abilia watatu (3), that means 110*3 ambayo ni sawa na 330.
Idadi hiyo ya watu 330 katila mkutano ndiyo wale huwa tunasmbiwa mamia wajitokeza kumlaki rais. Chukua mamia hao, jumlisha na UVCCM, Jumuiya ya Wazazi, Umoja wa akina mama ambao kutoka wilaya kata na matawi mbalimbali na wote wamelipiwa kufika hapo.
Unafanya assumption za kijinga
 
Hakuna asiyependa kulipa kodi mkuu, shida kubwa ni kwamba kodi zetu zinagharamia anasa za wanasiasa. Mwaka huu wametenga bilioni 980 kunua magari, mwaka jana walitenga bilioni 550. Haya ni matumizi mabaya ya kodi, kwa nini wasinunue magari ya bei rahisi ambayo ni manageable? Bajeti ya mishahara ni kubwa kuliko ile ya maendeleo, why? Mean tunakula sana kuliko kuzalisha
Huu uzushi wa Machadema Kwa nini mna entertain? Kama Serikali yenyewe Huwa haitumii zaidi ya Bilioni 500 Kwa Ajili hiyo ,hiyo yenu mumeitoa wapi?

Wekeni uthibitisho ndio tujadiki.maana Mimi ni mtu wa facts
 
Urais hauna Raha gani? Una heshima sio Raha ,Ikulu hakuna Raha ni risk
Kungekuwa hakuna raha wasingekuwa wanazunguka nchi nzima kuomba kuongezewa muda huku wakiomba wapewe awamu nyingine.
Ni mjinga tu ambaye anaweza kukubali eti urais na ubunge na uwaziri hauna raha wakati unaona hata wao wanawaandaa watotow ao kuja kushika hizo nafasi.
 
Watafutie kwanza watu ajira zenye ujira alafu walipe hizo so called tozo ambazo wewe unadhani hawalipi...

Wakituma Pesa, Wakitoa Pesa, Wakinunua Chochote kile indirectly nyie ndio mnakusanya..., Huko mnapotembeza bakuli ni hawa hawa ndio watalipa alafu mna audacity ya kuwanyoshea vidole ?!!!!
 
Naamini ELIMU ya KODI inazidi kueleweka polepole kwa wananchi wengi , wengi walihisi kodi ni adhabu ila kiukweli kodi ndio maendeleo . Umuhimu ni vyombo husika kuisimamia kodi yetu vizuri . Mheshimiwa raisi tunakutakia kazi njema iliyotukuka , na sisi tutazidi kulipa kodi bila kupingana na kitu . KASI NA KAZI ZIENDELEE
 
Watu wanaoambiwa walipe tozo wengi wao sidhani kama hata mchana wamekula.
Yeye anapiga Organic Food Imported jutoka kwenye makampuni makubwa ya Organic Duniani wakati wafuasi wake wanashindia Chai ya rangi na vitumbua na mbaya zaidi msafara wake una Magari ya total billion 15
 
Back
Top Bottom