Rais Samia kuziba masikio?

Kaisha yakanyanga , huyu mama kama hana pressure, safari hii ataipata maana jambo la bandari ndo kwanza limeanza,

Ushauri akaibe pesa kwingine amalizane na Warabu vinginevyo sie watu ambao Mungu alisha amua kutumia , Mungu anasema haya ni manyunyu, mvua kamili tena ya mawe na upepo mkali inakuja , haitaacha watu salama.

Ujumbe ufike tu, naamanisha nini nasema ,mwendazake tulimwambia kupitia jf hii , akaona watu wa kwenye mtandao tu wapumbavu

Twende tu mda ni mwalim
 
Tatizo la viongozi wetu wanatuona watanzania ni majuha isipokuwa wao tu waliopo madarakani ndio wenye akili.
Safari hii watajua hawajui
 
Mkuu unaongea kama umekatwa kichwa
 
Mada ni Magufuli,mistari mingi umemuongelea Magufuli, pathetic
 
Kwani mkataba ukifutwa, mchakato ikaanza UPYA watapoteza nini?

Hivi Mwajiriwa ukikatazwa kitu na boss wako, utabishana naye au utatii?
 
Unamshauri akaibe? Futa hiyo mtumishishi!!
 
Kwani mkataba ukifutwa, mchakato ikaanza UPYA watapoteza nini?

Hivi Mwajiriwa ukikatazwa kitu na boss wako, utabishana naye au utatii?
Ufutwe kwa wewe kushindwa kuuelewa vyema?, dawa ni kukuelimisha wewe na wengine wa aina yako.
 
Kati ya MWAJIRI na MWAJIRIWA, nani anapaswa amuelimishe mwenzie?

Wananchi wamekataa, msijitie maruhani!!!
Wananchi wa humu mitandaoni ndio wamekataa, wa kule Mtwara kwenye kilimo cha korosha wanautaka huu uwekezaji.

Wapiga domo wa humu JF huwa wanakataa kila kinachotaka kufanywa na serikali, ni mpaka waje kuona faida zake ndio katika hali ya unafiki wanajifanya kukubali kinachofanyika.
 
Kwahiyo nani wa kumuelimisha Prof Shivji kuhusu mkataba huu hapo Lumumbav?

Ninyi wahuni, dawa yenu inachemka!!
 
Unamshauri akaibe? Futa hiyo mtumishishi!!
Bora akaiba rudisha pesa za watu, kwani hawaibi ?wizi ni dhambi ndio ila si wanaiba kila siku na kwao ni heri tu na kama ndivyo akaibe tena rudisha pesa za watu ila hakuna kabidhi bandari za watu
 
Bora akaiba rudisha pesa za watu, kwani hawaibi ?wizi ni dhambi ndio ila si wanaiba kila siku na kwao ni heri tu na kama ndivyo akaibe tena rudisha pesa za watu ila hakuna kabidhi bandari za watu
Trillion 5 usawa huu unatoa wapi Kwa mfano?
 
Trillion 5 usawa huu unatoa wapi Kwa mfano?
Wafaa, watajua hawajui, ngoma nzito sana , kama kweli T5 sio mchezo wameyakanyaga Mungu wangu hatari sana mkuu, ila si anawabana kila aliepokea mgao au vipi?
 
Mtu kuachiwa na Mahakama siyo kwamba hajatenda kosa maana kule kuna mambo mengi ikiwemo Ujanja wa kisheria mfano rahisi ni Afande Rama aliyeliwa Tigo huko Zanzibar shaidi ambaye ni daktari amejibu maswali vibaya na siyo kiufundi wa kisheria Afande Rama kaachiwa huru haya sasa wewe unaamini Afande Rama hakuliwa jicho. Kuna muda mahakama zinataka ujibu kiufundi na ufuate taratibu zote kama sheria inavyoongoza kitu ambacho mara nyingi hukosewa kwakuwa milolongo ya sheria ni mingi sana ndiyo maana ni rahisi sana kushinda kesi kuliko kufungwa.

Bandari ibinafsishwe inafanya kazi chini ya viwango hivyo Nchi haifaidiki. Mfano ukiwa Arusha,Moshi,Manyara,Mara Biadhaa nyingi zinatokea Mombasa na sababu ni moja tu bandari inafanya kazi chini ya viwango
 
Pumbavu wenda mna nia ya kuibua kesi ya kigaidi ya Mbowe kama mnavyo fanya kwa Wakili Madereka, alafu kama kesi inaanza upya rudisha pesa yake aliowalipa pumbavu
 
Kwahiyo nani wa kumuelimisha Prof Shivji kuhusu mkataba huu hapo Lumumbav?

Ninyi wahuni, dawa yenu inachemka!!
Prof Shivji alichanganya BIT na IGA, akadhani wajibu na haki ni kwa pande zote mbili.

Mohamed Salum mwanasheria wa serikali alimuelewesha siku ile ya kikao cha Waziri Mbarawa na wahariri.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…