Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,051
- 71,367
Kwenye mkutano wake ule wa juzi na Viongozi wa Wanafunzi vyuo vikuu
Rais Samia, alilikazia sana hili Suala, Tena akawa kama anafanya manipulation hivi Et "Tena akipatikana nikiwa bado Rais, mnaweza nufaika zaidi"
Sasa,
Mimi ni mtu nayeamini katika Ubora , Uwezo, uthubutu, Akili ya mtu .
Kiongozi Mkuu wa Nchi, unaposimama Mahali, kuwataka watu wachague Viongozi Si Kwa Ubora wao Bali Kwa kua ni MWANAMKE , ni jambo la ajabu sana !!.
Nadhan Rais Samia, alipaswa kuwahimiza wanafunzi wa like, wanaojihisi wanauwezo zinapotokea chaguzi, wasimame mbele , wagombee, wapigiwe Kura , ikitokea wamekubalika, basi WATASHINDA .
Kwa Hulika hii ya Mama Samia,ndio Sababu aliamua kutuchagulia Kwa mara yakwanza Waziri wa Ulinzi mwanamke.
Kwa Mara ya kwanza ,anatuingiza Wanawake wengii sana kisa ni Wanawake wenzio.
Nadhani Kwa hulka hiyohiyo, Huwa anataman hata wakuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama, wawe wote ni Wanawake ?....hii ni mihemko ambayo Kiongozi hupaswi kua nayo !.
Unapoona Kiongozi mwanamke, ambaye naye safari yake ya uongozi haiamin ,na kuhisi ni safari alobebwa bebwa mpaka hapo Kwa Jinsia yake ya Kike, Sasa naye anataka mambo Yale yale ya kubeba beba Kwa kigezo Cha Jinsia ya Kike, hili ni suala la Ovyo sana.
Tunahitaji watu wenye Uwezo ,ambao watatupa matokeo Chanya, sio sababu tu ni Wanawake.
Masuala ya "kwakua Mimi ni mwanamke, Sasa nataka chini ya utawala wangu, awepo mwanamke wa kwanza Waziri wa Ulinzi,, mwanamke wa kwanza Mkuu wa Jeshi la polisz mwanamke wa kwanza CDF, mwanamke wa kwanza Mkuu wa usalama , mwanamke wa kwanza Mkuu Mahali Fulani, na pale na pale na pale Sio suala la Afya .
Rais Samia, alilikazia sana hili Suala, Tena akawa kama anafanya manipulation hivi Et "Tena akipatikana nikiwa bado Rais, mnaweza nufaika zaidi"
Sasa,
Mimi ni mtu nayeamini katika Ubora , Uwezo, uthubutu, Akili ya mtu .
Kiongozi Mkuu wa Nchi, unaposimama Mahali, kuwataka watu wachague Viongozi Si Kwa Ubora wao Bali Kwa kua ni MWANAMKE , ni jambo la ajabu sana !!.
Nadhan Rais Samia, alipaswa kuwahimiza wanafunzi wa like, wanaojihisi wanauwezo zinapotokea chaguzi, wasimame mbele , wagombee, wapigiwe Kura , ikitokea wamekubalika, basi WATASHINDA .
Kwa Hulika hii ya Mama Samia,ndio Sababu aliamua kutuchagulia Kwa mara yakwanza Waziri wa Ulinzi mwanamke.
Kwa Mara ya kwanza ,anatuingiza Wanawake wengii sana kisa ni Wanawake wenzio.
Nadhani Kwa hulka hiyohiyo, Huwa anataman hata wakuu wa vyombo vya Ulinzi na usalama, wawe wote ni Wanawake ?....hii ni mihemko ambayo Kiongozi hupaswi kua nayo !.
Unapoona Kiongozi mwanamke, ambaye naye safari yake ya uongozi haiamin ,na kuhisi ni safari alobebwa bebwa mpaka hapo Kwa Jinsia yake ya Kike, Sasa naye anataka mambo Yale yale ya kubeba beba Kwa kigezo Cha Jinsia ya Kike, hili ni suala la Ovyo sana.
Tunahitaji watu wenye Uwezo ,ambao watatupa matokeo Chanya, sio sababu tu ni Wanawake.
Masuala ya "kwakua Mimi ni mwanamke, Sasa nataka chini ya utawala wangu, awepo mwanamke wa kwanza Waziri wa Ulinzi,, mwanamke wa kwanza Mkuu wa Jeshi la polisz mwanamke wa kwanza CDF, mwanamke wa kwanza Mkuu wa usalama , mwanamke wa kwanza Mkuu Mahali Fulani, na pale na pale na pale Sio suala la Afya .