Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,664
- 8,278
Kuna Taarifa Kwamba Samia Atakuwa na Safari ya Kikazi Nchini Rwanda Wiki Mbili Zijazo.
Itakumbukwa Kwamba Kagame Hakuwa na Mawasiliano Mazuri Na Rais Kikwete Wakati Wa Kipindi na Uongozi Wake.
Ikumbukwe Pia Kagame Hakuhudhuria Msiba Wa Marehemu Hayati Magufuli.
Je Tutegemee Maelewano Mazuri Ya Kidiplomasia Kati Ya Samia Na Kagame Kwa Awamu Hii Ya 6?
———
UPDATE: Rais Samia kuzuru Rwanda kwa Ziara ya Siku Mbili (Agosti 2-3, 2021)
Itakumbukwa Kwamba Kagame Hakuwa na Mawasiliano Mazuri Na Rais Kikwete Wakati Wa Kipindi na Uongozi Wake.
Ikumbukwe Pia Kagame Hakuhudhuria Msiba Wa Marehemu Hayati Magufuli.
Je Tutegemee Maelewano Mazuri Ya Kidiplomasia Kati Ya Samia Na Kagame Kwa Awamu Hii Ya 6?
———
UPDATE: Rais Samia kuzuru Rwanda kwa Ziara ya Siku Mbili (Agosti 2-3, 2021)