Rais Samia, kaimu DSO Kiteto anakuharibia Chukua hatua mapema!

Rais Samia, kaimu DSO Kiteto anakuharibia Chukua hatua mapema!

Tatizo awamu ya 5 iliweka mamluki wengi sana kwenye hiyo taasisi ili kutimiza malengo ya bwana yule mwenda zake na hao ndio wanao leta shida kubwa.
Kiufupi taasisi ilivamiwa na mamluki. Hatukuwahi kushuhudia vituko nchi hii kutoka idara ya usalama wa Taifa kamaa serikali ya awamu ya 5.
 
Chuunguzeni kwa makini mtoa mada atakuwa mhalifu nyuzi nyingine ukiunganisha dot utajuwa inakuwaje mtu wa usalaama akutane naye na kwa mazingira gani! Kama wewe ni mhalifu mkuu acha kabisa zama bado ni zilezile mwenye nchi ni shehe yuleyule amebadilisha kanzu tu
Uhalifu si polisi mzee.usalama na uhalifu wapi na wapi. ? Others hao usalama hawajui majukumu yao.
 
Chuunguzeni kwa makini mtoa mada atakuwa mhalifu nyuzi nyingine ukiunganisha dot utajuwa inakuwaje mtu wa usalaama akutane naye na kwa mazingira gani! Kama wewe ni mhalifu mkuu acha kabisa zama bado ni zilezile mwenye nchi ni shehe yuleyule amebadilisha kanzu tu

Kiufupi taasisi ilivamiwa na mamluki. Hatukuwahi kushuhudia vituko nchi hii kutoka idara ya usalama wa Taifa kamaa serikali ya awamu ya 5.
Na hao ndio chanzo cha matatizo makubwa kwenye idara nyeti ile
 
Tatizo awamu ya 5 iliweka mamluki wengi sana kwenye hiyo taasisi ili kutimiza malengo ya bwana yule mwenda zake na hao ndio wanao leta shida kubwa.
Sasa kwa akili yako DSO alitakiwa wa kada gani? Kilimo au Afya
 
Mh.Rais najua nimechukua hatua kubwa sana kukushtakia huyu bwanamdogo .anaekaimu Ofisi ya DSO Kiteto .anawaita watumishi Ofisini kwake na kuwatishia kuwapiga, vitisho visivyo na msingi.

Amewazuia watumishi kutoka Arusha na longido waliokuja kwenye mafunzo bila sababu za msingi. Hatuelewi hatma yetu kama watumishi kwa kifupi tunanyanyasika sana na ni kama Mkuu wa wilaya anamkingia kifua.

Mh rais najuwa nimeruka stage lakini tunakuomba utuondolee hii balaa/laana kwenye wilaya yetu.
Taarifa ina udhaifu mkubwa!
1. Una uhakika gani kama ni kaimu DSO!?
2. DSO mwenyewe yupo wapi?
3. Jina lake ni nani?
4. Watumishi walioitwa ofisini kwa DSO ni kina nani?
5. Wamefanyanini hadi waitwe kwani sio utaratobu uliozoeleka DSO kumuita mtu ofisini kwake!
6. Amewatishia kuwapiga! Kuwapigaje?
7. Maswali ni mengi kuifanya taarifa iwe na ukweli angalau

Bazazi ni Bazazi na si bazazi
 
Mh.Rais najua nimechukua hatua kubwa sana kukushtakia huyu bwanamdogo .anaekaimu Ofisi ya DSO Kiteto .anawaita watumishi Ofisini kwake na kuwatishia kuwapiga, vitisho visivyo na msingi.

Amewazuia watumishi kutoka Arusha na longido waliokuja kwenye mafunzo bila sababu za msingi. Hatuelewi hatma yetu kama watumishi kwa kifupi tunanyanyasika sana na ni kama Mkuu wa wilaya anamkingia kifua.

Mh rais najuwa nimeruka stage lakini tunakuomba utuondolee hii balaa/laana kwenye wilaya yetu.
Hueleweki umeandika nini.
Weka facts zionekane, DSO anakunyanyasaje? We ni mtumishi wa kada gani mpaka ukutane na DSO? Hueleweki mkuu
 
Uhalifu si polisi mzee.usalama na uhalifu wapi na wapi. ? Others hao usalama hawajui majukumu yao.
wewe endelea kumtwisha mwendazake lawama hata za kukosa kwako chakula.
haya mengine yaache tu.
 
Back
Top Bottom