Rais Samia, kaimu DSO Kiteto anakuharibia Chukua hatua mapema!

Rais Samia, kaimu DSO Kiteto anakuharibia Chukua hatua mapema!

Babake mwanaidi

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2017
Posts
641
Reaction score
695
Mh.Rais najua nimechukua hatua kubwa sana kukushtakia huyu bwanamdogo .anaekaimu Ofisi ya DSO Kiteto .anawaita watumishi Ofisini kwake na kuwatishia kuwapiga, vitisho visivyo na msingi.

Amewazuia watumishi kutoka Arusha na longido waliokuja kwenye mafunzo bila sababu za msingi. Hatuelewi hatma yetu kama watumishi kwa kifupi tunanyanyasika sana na ni kama Mkuu wa wilaya anamkingia kifua.

Mh rais najuwa nimeruka stage lakini tunakuomba utuondolee hii balaa/laana kwenye wilaya yetu.
 
Watu wazima mnatishwa si mumpi.ge nyuma atulie
 
DSO ni nani katika utawala wilayani? Afisa usalama? Utumishi? au afisa tawala? Kama ni afisa usalama unakutana naye vipi hadi akutishie?
 
DSO ni nani katika utawala wilayani? Afisa usalama? Utumishi? au afisa tawala? Kama ni afisa usalama unakutana naye vipi hadi akutishie?
Afisa usalama wilaya....tusubiri upande wa pili nayo
 
Tulia uandike vizuri ...hujaeleweka kabisa
,mara Kiteto ,Longido ,Arusha..mafunzo.
 
Mh.Rais najua nimechukua hatua kubwa sana kukushtakia huyu bwanamdogo .anaekaimu Ofisi ya DSO Kiteto .anawaita watumishi Ofisini kwake na kuwatishia kuwapiga, vitisho visivyo na msingi.

Amewazuia watumishi kutoka Arusha na longido waliokuja kwenye mafunzo bila sababu za msingi. Hatuelewi hatma yetu kama watumishi kwa kifupi tunanyanyasika sana na ni kama Mkuu wa wilaya anamkingia kifua.

Mh rais najuwa nimeruka stage lakini tunakuomba utuondolee hii balaa/laana kwenye wilaya yetu.
Kiteto hakunaga serikali Hadi wakati wa uchaguzi mkuu .
 
Wewe Mtumishi wa idara ya usalama, kama sio ulikutana nae wapi hadi akugonge mkwara ukaja kujisalimisha jf?

Nikupe kisa1.

Mwaka 2019, atakung'oa kucha ukiendelea kumpakazia humu.

Peleka lalamiko kwa rso.
 
Hivi Bongo hapa hamnaga watu wanaoweza kuzichapa jamani?

Wanawake tunalia wanaume wanajiliza.... inatakiwa mtu wa mfano, ngumi moja meno manne chini, haya mambo ya kushtaki shtaki kila kitu mmh
Yani watanzania wanapenda deko sana,,, yani si mkubwa si mdogo ni kudeka tuuu yani na deko ndio chanzo cha masjungu na uchonganishi. Unaweza kuta wamepishana lugha tuuu hivi afisa usalama na mtumishi wa kawaida wanaweza kuwa wamepishana wapi?
 
Yani watanzania wanapenda deko sana,,, yani si mkubwa si mdogo ni kudeka tuuu yani na deko ndio chanzo cha masjungu na uchonganishi ...... unweza kuta wamepishana lugha tuuu hivi afisa usalama na mtumishi wa kawaida wanaweza kuwa wamepishana wapi?
Inatakiwa tu wakitofautiana sometimes zinachapwa kiume mambo yanaisha
 
DSO ni nani katika utawala wilayani? Afisa usalama? Utumishi? au afisa tawala? Kama ni afisa usalama unakutana naye vipi hadi akutishie?
Acha kabisa huko mawilayani watendaji wa vijiji wanaweka watu ndani itakua huyo afisa usalama na wanavojionaga wao untouchables!
 
Hii nchi ili heshima iwepo lazima kitokee kipindi tuchapane kidogo.
 
Chuunguzeni kwa makini mtoa mada atakuwa mhalifu nyuzi nyingine ukiunganisha dot utajuwa inakuwaje mtu wa usalaama akutane naye na kwa mazingira gani! Kama wewe ni mhalifu mkuu acha kabisa zama bado ni zilezile mwenye nchi ni shehe yuleyule amebadilisha kanzu tu
 
Acha kabisa huko mawilayani watendaji wa vijiji wanaweka watu ndani itakua huyo afisa usalama na wanavojionaga wao untouchables!
Tatizo awamu ya 5 iliweka mamluki wengi sana kwenye hiyo taasisi ili kutimiza malengo ya bwana yule mwenda zake na hao ndio wanao leta shida kubwa.
 
Back
Top Bottom