Rais Samia hongera sana, umegoma kuyumbishwa!

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
9,662
16,016
Mama Rais Dkt. Samia nikupe hongera zako kwa kuonesha msimamo katika mambo unayosimamia.

Limepita wimbi hapa na ni kama kilikuwa kipimo cha msimamo wako nadiriki kusema Tanzania imebarikiwa kupata kiongozi shupavu asiyetetereka katika maamuzi yake kwa manufaa ya Nchi yetu Tanzania.

Wasaidizi wako watambue kuwa huna mzaha kwa yeyote anayetaka kuku jaribu iwe kwa nia njema au mbaya. Nakuhakikishia kwa miradi unayoitekeleza kwenye vijiji, wilayani na sehemu zote nchini huna mpinzani mama.

Kubali wakuite majina yote lakini shikilia hapo hapo usikubali kuyumbishwa. Pia nakushauri mchakato wa katiba kwa sasa uweke pembeni tujenge nchi kwanza.
 
Pongezi pia kwa kuikanyagia ripoti ya CAG Kichere ya upotevu wa 1.5 trilioni.

Tunampongeza pia kwa kuwalinda Wapigaji wa hutu tukodi twetu twa kudundiliza.
Hujasikia kivumbi cha arusha? Mbeya nako mama kawaambia anajua kila kitu sasa wajichanganye waone . Huyu mama anafanya mambo yake kwa akili kubwa sana bado tu hamjamuelewa?
 
Mama Rais Dkt. Samia nikupe hongera zako kwa kuonesha msimamo katika mambo unayosimamia.

Limepita wimbi hapa na ni kama kilikuwa kipimo cha msimamo wako nadiriki kusema Tanzania imebarikiwa kupata kiongozi shupavu asiyetetereka katika maamuzi yake kwa manufaa ya Nchi yetu Tanzania.

Wasaidizi wako watambue kuwa huna mzaha kwa yeyote anayetaka kuku jaribu iwe kwa nia njema au nzuri. Nakuhakikishia kwa miradi unayoitekeleza kwenye vijiji, wilayani na sehemu zote nchini huna mpinzani mama.

Kubali wakuite majina yote lakini shikilia hapo hapo usikubali kuyumbishwa. Pia nakushauri mchakato wa katiba kwa sasa uweke pembeni tujenge nchi kwanza.
samia ni dhaifu mno,kibri na majivuno havimpeleki popote.
 
Mama Rais Dkt. Samia nikupe hongera zako kwa kuonesha msimamo katika mambo unayosimamia.

Limepita wimbi hapa na ni kama kilikuwa kipimo cha msimamo wako nadiriki kusema Tanzania imebarikiwa kupata kiongozi shupavu asiyetetereka katika maamuzi yake kwa manufaa ya Nchi yetu Tanzania.

Wasaidizi wako watambue kuwa huna mzaha kwa yeyote anayetaka kuku jaribu iwe kwa nia njema au nzuri. Nakuhakikishia kwa miradi unayoitekeleza kwenye vijiji, wilayani na sehemu zote nchini huna mpinzani mama.

Kubali wakuite majina yote lakini shikilia hapo hapo usikubali kuyumbishwa. Pia nakushauri mchakato wa katiba kwa sasa uweke pembeni tujenge nchi kwanza.
Kagoma? Atayumbishwa na wimbi kubwa la mungu. Na atavuliwa kama alivyovua wenzake ubalozi. Haiwezekani mtu apinge ufisadi halafu ukimbilie kumvua hadhi yake ya ubalozi. Mungu atamvua yeye pia
 
1693650007610.png
 
Mama Rais Dkt. Samia nikupe hongera zako kwa kuonesha msimamo katika mambo unayosimamia.

Limepita wimbi hapa na ni kama kilikuwa kipimo cha msimamo wako nadiriki kusema Tanzania imebarikiwa kupata kiongozi shupavu asiyetetereka katika maamuzi yake kwa manufaa ya Nchi yetu Tanzania.

Wasaidizi wako watambue kuwa huna mzaha kwa yeyote anayetaka kuku jaribu iwe kwa nia njema au nzuri. Nakuhakikishia kwa miradi unayoitekeleza kwenye vijiji, wilayani na sehemu zote nchini huna mpinzani mama.

Kubali wakuite majina yote lakini shikilia hapo hapo usikubali kuyumbishwa. Pia nakushauri mchakato wa katiba kwa sasa uweke pembeni tujenge nchi kwanza.
Ayumbishwe mara ngapi wewe boya? Aliyumbishwa kwenye sakata la kumfungulia Mbowe kesi ya ugaidi na ikamgharimu sana kujisafisha. Aliyumbishwa kwenye sakata la kuwafungulia kesi ya uhaini Dr. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude na ishu nyingi tu hata hii teua tengua isiyokoma pia anayumbishwa. Hata sifa unazompa wewe unamyumbisha tu.
 
Mama Rais Dkt. Samia nikupe hongera zako kwa kuonesha msimamo katika mambo unayosimamia.

Limepita wimbi hapa na ni kama kilikuwa kipimo cha msimamo wako nadiriki kusema Tanzania imebarikiwa kupata kiongozi shupavu asiyetetereka katika maamuzi yake kwa manufaa ya Nchi yetu Tanzania.

Wasaidizi wako watambue kuwa huna mzaha kwa yeyote anayetaka kuku jaribu iwe kwa nia njema au nzuri. Nakuhakikishia kwa miradi unayoitekeleza kwenye vijiji, wilayani na sehemu zote nchini huna mpinzani mama.

Kubali wakuite majina yote lakini shikilia hapo hapo usikubali kuyumbishwa. Pia nakushauri mchakato wa katiba kwa sasa uweke pembeni tujenge nchi kwanza.
Chawa kwenye moja na mbili
 
Back
Top Bottom