Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 23,284
- 28,444
Post zinazohusu Rais Samia kwenda Marekani zinapotoshwa kisiasa lakini Mods mnaziacha zipotoshe!
Taarifa ya serikali ilisema wazi kuwa Rais anakwenda UN na si ziara ya Marekani, hata hivyo Mods mnaacha upotoshaji huu uendelee sijui kwa manufaa ya nani!
UN haimo kwenye serikali ya marekani japo ofisi zake ziko marekani, ni sehemu inayojitegemea kwa kila kitu.
Taarifa ya serikali ilisema wazi kuwa Rais anakwenda UN na si ziara ya Marekani, hata hivyo Mods mnaacha upotoshaji huu uendelee sijui kwa manufaa ya nani!
UN haimo kwenye serikali ya marekani japo ofisi zake ziko marekani, ni sehemu inayojitegemea kwa kila kitu.