Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Rais Samia Suluhu amewajibu wapinzani kuwa waache kukariri kwani demokrasia siyo Cocacola kwamba inafanana kila mahali duniani.
Samia amesema demokrasia inatofautiana kutoka nchi moja kwenda nyingine kutokana na utofauti wa mila na desturi vya mahali husika hivyo demokrasia tuliyonayo sisi watanzania inatutosha.
Samia amesema demokrasia inatofautiana kutoka nchi moja kwenda nyingine kutokana na utofauti wa mila na desturi vya mahali husika hivyo demokrasia tuliyonayo sisi watanzania inatutosha.