Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,810
- 11,977
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Maendeleo Sera na Ubia katika Benki ya Dunia (WB) Prof. Mari Pangestu, wakati Mkurugenzi Pangestu alipofika Ikulu, Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Novemba, 2021.
PICHA NA IKULU.