mwachie mbowe mvua zinyesheeee!schedule services
mwachie mbowe mvua zinyesheeee!schedule services
Mtaliii…Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan amewasili Zanzibar leo akitokea Jijini Mwanza.
Mh Samia aliondoka jijini Dar kuelekea Jijini Mwanza leo asubuhi
Haaaa, ulikuwa unajidanganya kuwa tutatoboa! Laghasha hilo halitatokea ikiwa watawala ni wale wale.Hii nchi hatutoboi hata iweje maana kila kiongozi akiingia anaingia na kikundi chake wanakula raha hadi muda wao ukiisha wanasepa wanaingia wengine,Sisi huku mitandaoni tunapigizana kelele wao wanatuangalia wanacheeka.
Jitombashisho ....!😛Aisee!
Alitokea dar-mwanza-zanzibaralitokea jijini Dar kwenda Znz leo asubuhi? andika taratibu basi mkuu au mimi ndio nimesoma vibaya?