Rais Samia Awasili Zanzibar

Rais Samia Awasili Zanzibar

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,826
Reaction score
14,018
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan amewasili Zanzibar leo akitokea Jijini Mwanza.

Mh Samia aliondoka jijini Dar kuelekea Jijini Mwanza leo asubuhi.
itvtz_1637246113280.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwacheni asalimie wajukuu kidogo!
 
Safari kwenye Airbus kajaza jopo la mashekhe na wachungaji na mzee wa upako ndani ili wamlinde zidi ya mapepo hahaha Mama we watajiju.....
 
Hii nchi hatutoboi hata iweje maana kila kiongozi akiingia anaingia na kikundi chake wanakula raha hadi muda wao ukiisha wanasepa wanaingia wengine,Sisi huku mitandaoni tunapigizana kelele wao wanatuangalia wanacheeka.
 
Khaaa...si kwa kuzurura huku. Nchi inaendeshwa na watu wengine...
 
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hassan amewasili Zanzibar leo akitokea Jijini Mwanza.

Mh Samia aliondoka jijini Dar kuelekea Jijini Mwanza leo asubuhi.View attachment 2015437

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeleta taarifa za kukanganya
Zbr- Dar - Mza - Zbr ! Una haraka gani.

Je kuna haja ya kuwakatisha mauno watoto hapo!? Utamaduni huu upitwe.
 
Back
Top Bottom