KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,215
- 56,855
Hata siyajui haya!hivi haujui Kama Tanzania inaongozwa na uingereza?.
na hata muungano wa Zanzibari na tanganyika wao ndo wanausimamia
Hata siyajui haya!hivi haujui Kama Tanzania inaongozwa na uingereza?.
na hata muungano wa Zanzibari na tanganyika wao ndo wanausimamia
Hajakigusa tu nimesikia kwenye mkutano wake anakibariki “Anamuomba Mungu kibariki kifimbo hiko na kukitaki kheri kifika Salama “Hicho kifimbo mbona ni kama vile ibada ya sanamu flani hivi na wenzetu hawa wa ile imani ya Saudia na mambo hayo ya masanamu mbona mbali mbali kabisa sasa inakuaje mama anakubali kugusa hicho kifimbo!!
Inamaana ya kwamba sisi ni koloni la malkia na ni watumwa wakeInamaana gani na inafaida gani kitaifa..?
🙄Inamaana ya kwamba sisi ni koloni la malkia na ni watumwa wake
Umeona eeeeh?Hata jina lako linaonyesha uzungu uzungu
Kina nguvuIko kifimbo kina nini
Fimbo nayo ni sanamu?Hicho kifimbo mbona ni kama vile ibada ya sanamu flani hivi na wenzetu hawa wa ile imani ya Saudia na mambo hayo ya masanamu mbona mbali mbali kabisa sasa inakuaje mama anakubali kugusa hicho kifimbo!!
Kwa sababu tumekuwa wa tatu?Nimejikuta nacheka tu