Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,770
- 1,173
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza Watanzania kwenye maziko ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Waziri Mkuu Mstaafu Hayati Mzee Cleopa David Msuya yaliyofanyika nyumbani kwake kijijini Chomvu, Usangi Wilayani Mwanga Mkoani Kilimanjaro tarehe13 Mei, 2025.
Soma pia TANZIA - Mzee David Cleopa Msuya afariki Dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Mzena
Soma pia TANZIA - Mzee David Cleopa Msuya afariki Dunia akipatiwa matibabu hospitali ya Mzena