Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameondoka kwenda Zanzibar kwa mapumziko ya sikukuu
Baraza la Eid linafanyia ukumbini badala ya kwenye nyumba ya ibada?Mama Samia mapema leo alikuwa mgeni rasmi kwenye Baraza la Eid lililifanyika ukumbi wa Anatouglo Dar es salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani ameondoka leo Mei 14, 2021 kwenda Zanzibar kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu
Mama Samia mapema leo alikuwa mgeni rasmi kwenye Baraza la Eid lililifanyika ukumbi wa Anatouglo Dar es salaam
Huna uwezo wa kumuoa mtoto wa raisi mkuuPumzika tu mama kazi yako tumeiona hivi mama hauna binti hajaolewa
Alafu kila siku!... ukisikia kupumzika sasa ndio huku baada ya kazi kubwa iliyobadilisha kabisa mtazamo na matumaini ya wananchi in a very positive way ndani ya muda mfupi! Sio jitu linatoka kufukarisha na kukatisha wananchi tamaa halafu eti liko mapumzikoni; so what?
Mtoto wa mzee ruksa aliolewa na fundi cherehani.Huna uwezo wa kumuoa mtoto wa raisi mkuu
Hahaha Mkuu kumbe tuko wengi...Pumzika tu mama kazi yako tumeiona hivi mama hauna binti hajaolewa
hapo nimekuelewa, nilidhani sentensi imeungana... ukisikia kupumzika sasa ndio huku baada ya kazi kubwa iliyobadilisha kabisa mtazamo na matumaini ya wananchi in a very positive way ndani ya muda mfupi!
Sio jitu linatoka kufukarisha na kukatisha wananchi tamaa halafu eti liko mapumzikoni; so what?
Sasa huyu mama atakaa dodoma? Maana kila kisababu yuko dar. Mwendazake alikutana na wazee wa dodoma ili kusema na taifa yeye wazee wa taifa ni darr tu utafikiri wazee wa dar ndio wazee wa taifa.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani ameondoka leo Mei 14, 2021 kwenda Zanzibar kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu
Mama Samia mapema leo alikuwa mgeni rasmi kwenye Baraza la Eid lililifanyika ukumbi wa Anatouglo Dar es salaam