Rais Samia angekuwa na washauri wazuri wangejiuliza kwa nini kila analofanya halikubaliki kwenye macho ya Watanzania.?

Rais Samia angekuwa na washauri wazuri wangejiuliza kwa nini kila analofanya halikubaliki kwenye macho ya Watanzania.?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,170
Reaction score
8,622
Ni kama serikali ya rais Samia haifanyi lolote kwenye macho ya watanzania. Ujumla kila analolifanya ni kama void and null.

Nimekuwa na mazungumzo na mmoja wa wakufunzi kwenye chuo cha ualimu sitaki kukitaja. Akaniambia yeye mwenyewe anashangaa sana maana kila analolifanya rais Samia ni kama linaonekana ni ubatili machoni pa Watanzania.

Mfano ni hii mikakati uchwara ya kujifanya anawaangalia kwa jicho la karibu magenz ili waweze kuipenda serikali yake kwa kutumia mikakakati uchwara...
 
Tatizo sio anachofanya, tatizo ni dhamira nyuma ya anayofanya.

Kinachopelekea achukiwe ni dhamira yake batili juu ya Watanzania.
Hana mapenzi ya dhati kwa nchi hii zaidi ya maslahi yake binafsi.

Kama vile haitoshi akaenda mbali zaidi na kuua Watanzania kwa maelfu, yote katika jaribio la kulazimisha kuwa anapendwa.

Huyu mama hatuko nae faraghani, ila nina yakini hana amani ya nafsi. Kazungukwa na kila aina ya ufahari lakini nafsi yake imejaa jitimai na udhalili.
 
Ni kama serikali ya rais Samia haifanyi lolote kwenye macho ya watanzania. Ujumla kila analolifanya ni kama void and null.

Nimekuwa na mazungumzo na mmoja wa wakufunzi kwenye chuo cha ualimu sitaki kukitaja. Akaniambia yeye mwenyewe anashangaa sana maana kila analolifanya rais Samia ni kama linaonekana ni ubatili machoni pa Watanzania.

Mfano ni hii mikakati uchwara ya kujifanya anawaangalia kwa jicho la karibu magenz ili waweze kuipenda serikali yake kwa kutumia mikakakati uchwara...
Yeye hana akili zake?
 
Ni kama serikali ya rais Samia haifanyi lolote kwenye macho ya watanzania. Ujumla kila analolifanya ni kama void and null.

Nimekuwa na mazungumzo na mmoja wa wakufunzi kwenye chuo cha ualimu sitaki kukitaja. Akaniambia yeye mwenyewe anashangaa sana maana kila analolifanya rais Samia ni kama linaonekana ni ubatili machoni pa Watanzania.

Mfano ni hii mikakati uchwara ya kujifanya anawaangalia kwa jicho la karibu magenz ili waweze kuipenda serikali yake kwa kutumia mikakakati uchwara...
Inawezekana wewe upo hapa JF kwa kazi maalum.

Kwa bahati mbaya hiyo kazi huna uwezo nayo

Unaleta mada za kijinga sana.

Huwa silembi ninapoona upuuzi.
 
Tatizo sio anachofanya, tatizo ni dhamira nyuma ya anayofanya.

Kinachopelekea achukiwe ni dhamira yake batili juu ya Watanzania.
Hana mapenzi ya dhati kwa nchi hii zaidi ya maslahi yake binafsi.

Kama vile haitoshi akaenda mbali zaidi na kuua Watanzania kwa maelfu, yote katika jaribio la kulazimisha kuwa anapendwa.

Huyu mama hatuko nae faraghani, ila nina yakini hana amani ya nafsi. Kazungukwa na kila aina ya ufahari lakini nafsi yake imejaa jitimai na udhalili.
Kajenga shule 103 za amali Tanzania nzima hapo sijaongelea madaraja na SGR inayokula matrilioni ya pesa.

Mnajitahidi sana kusambaza chuki na roho za udini, lakini inakuja kututafuna sisi wenyewe siku moja.

Ubaguzi ni dhambi ambayo mtu anazeeka nayo, nakumbuka chato nyumbani kwa hayati JPM palivyobaguliwa na kutengwa utadhani sio sehemu ya Tanzania.
 
We lipa kodi habari ya kupenda kapende wazazi wako, kama unabisha ingia barabarani ukafanye ule uhalifu wenu mliojaribu kuufanya mkaishia kulialia mtandaoni hadi leo
 
Tatizo sio anachofanya, tatizo ni dhamira nyuma ya anayofanya.

Kinachopelekea achukiwe ni dhamira yake batili juu ya Watanzania.
Hana mapenzi ya dhati kwa nchi hii zaidi ya maslahi yake binafsi.

Kama vile haitoshi akaenda mbali zaidi na kuua Watanzania kwa maelfu, yote katika jaribio la kulazimisha kuwa anapendwa.

Huyu mama hatuko nae faraghani, ila nina yakini hana amani ya nafsi. Kazungukwa na kila aina ya ufahari lakini nafsi yake imejaa jitimai na udhalili.
Binafsi, naomba tu yeye mwovu huyu ndiyo awe chachu ya kuondoa hii takataka inayoitwa CCM moja kwa moja.

Hilo likifanikiwa anfgalau atakuwa amelisaidia taifa kwa njia ambayo hata yeye hakuitegemea.

Samia Suluhu Hassan hajawahi, na kamwe hatawahi kuwa na maslahi ya Tanzania moyoni mwake.

Hata kule kujifanya anaguswa na maswala ya maisha ya waTanzania ni vigumu sana kwake kuigiza hivyo.
 
Ni kama serikali ya rais Samia haifanyi lolote kwenye macho ya watanzania. Ujumla kila analolifanya ni kama void and null.

Nimekuwa na mazungumzo na mmoja wa wakufunzi kwenye chuo cha ualimu sitaki kukitaja. Akaniambia yeye mwenyewe anashangaa sana maana kila analolifanya rais Samia ni kama linaonekana ni ubatili machoni pa Watanzania.

Mfano ni hii mikakati uchwara ya kujifanya anawaangalia kwa jicho la karibu magenz ili waweze kuipenda serikali yake kwa kutumia mikakakati uchwara...
Samia kakataliwa na dini yake siyo watanzania kasome Quran vizuri...mwanamke si chochote na utawala wake hauwezi kusimama.

Kobaz wanalijua hili.sema wanajitia wwazimu tu
 
Yeye hana akili zake?
Kwa akili hana, anaendeshwa na tamaa, uchu, ukatili na roho ya mauaji.

Angekuwa na akili asingeforce kubaki madarakani na kudiriki kumwaga damu za watu ili tu dhamira yake itimie.

Kilichopaswa kuwa akili kwake ame ki replace na uchu wa mali kupitia madaraka kupelekea kuchukiwa na kila kilocho na uhai.

Mwenye akili asingekaa akatarajia kama ilivyo kufunga na kufungua macho watu watasahau kuuliwa ndugu zao eti kwa kupitia mgongo wa maridhiano.

Akili hana.
 
Ni kama serikali ya rais Samia haifanyi lolote kwenye macho ya watanzania. Ujumla kila analolifanya ni kama void and null.

Nimekuwa na mazungumzo na mmoja wa wakufunzi kwenye chuo cha ualimu sitaki kukitaja. Akaniambia yeye mwenyewe anashangaa sana maana kila analolifanya rais Samia ni kama linaonekana ni ubatili machoni pa Watanzania.

Mfano ni hii mikakati uchwara ya kujifanya anawaangalia kwa jicho la karibu magenz ili waweze kuipenda serikali yake kwa kutumia mikakakati uchwara...
Very simple. Ni kwa sababu TEC hawamtaki
 
Inawezekana wewe upo hapa JF kwa kazi maalum.

Kwa bahati mbaya hiyo kazi huna uwezo nayo

Unaleta mada za kijinga sana.

Huwa silembi ninapoona upuuzi.
Hii hoja kwa akili ndogo tu inahusika vipi na kazi maalumu? Kazi ipi maalumu? Kila siku huwa nakuaambia una akili ndogo kama kisoda
 
Yule waziri wa vijana ndo kicjekesho kabisa bora wangempa tu Paul Makonda
 
Kajenga shule 103 za amali Tanzania nzima hapo sijaongelea madaraja na SGR inayokula matrilioni ya pesa.

Mnajitahidi sana kusambaza chuki na roho za udini, lakini inakuja kututafuna sisi wenyewe siku moja.

Ubaguzi ni dhambi ambayo mtu anazeeka nayo, nakumbuka chato nyumbani kwa hayati JPM palivyobaguliwa na kutengwa utadhani sio sehemu ya Tanzania.
Udini nani kauongelea hapo, umefanya comparison na Magu naye ilikuwa ni udini huohuo? Is it luck of intelligence au mmekaririshwa tu mumtetee kwa kete ya udini. Huyo aliyeandika post hiyo amejitanabaisha imani(dini) yake?
Shule amejenga yeye ni fundi au mfyatua matofali? Polisi wakiua mnasema Samia hakushika bunduki sasa hapo kwenye ujenzi wa shule alikuwa anachanganya zege au anabeba matofali?
 
Back
Top Bottom