Rais Samia anawapenda Sana Watanzania Kwa Dhati Ya Moyo wake

Rais Samia anawapenda Sana Watanzania Kwa Dhati Ya Moyo wake

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
36,354
Reaction score
23,760
Ndugu zangu Watanzania,

Hotuba ya Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Imeonyesha Kuwapenda na kuwajali sana Watanzania. Ni hotuba iliyoonyesha upendo mkubwa alionao Rais wetu kwa watanzania.

Ni hotuba ambayo imeonyesha muendelezo wa Dhamira ya Dhati ya Rais wetu kutaka kuona wananchi na watanzania wote kwa ujumla wake wakiishi kwa amani ,umoja , mshikamano na Kwa upendo. Ameonyesha nia ya kuliunganisha Taifa letu, nia ya kuponya majeraha kwa yeyote aliyeumizwa na kujeruhiwa .

Ameonyesha nia na dhamira ya dhati kabisa ya kufutana machozi kwa upendo na kusameheana. Mama ameonyesha upendo wake wa dhati na nia ya kujenga na kuimarisha umoja wa kitaifa. Mama yetu ameonyesha utayari wa kukaa mezani na yeyote yule mwenye dukuduku. Amekunjua na kunyoosha mkono wa maridhiano.

Hataki ushindi katika kujenga umoja wa kitaifa. Anataka sote tushirikiane kujenga umoja wa kitaifa.anataka kila mmoja wetu awe na sauti sawa na mwingine.anataka sauti ya kila mmoja wetu isikike na ipewe thamani na sikio . Ndio sababu ta kutaka kuunda tume ya maridhiano. Ndio sababu ya kuwaomba watanzania kuungana kulijenga Taifa letu

Watanzania hatuna budi kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa. Hatutafuti nani kakosea wapi na nani kaharibu wapi. Tunatafuta njia ya kuliponya Taifa letu na kusonga mbele kwa pamoja. Tunatafuta ushindi wetu sote kama Taifa .

Tukunjue mikono yetu ,tunyooshe mikono yetu ya amani . Tukunjue mioyo yetu na kuungana kutafuta ushindi kwa Taifa letu. Sisi sote ni watanzania na jadi yetu ni kuzungumza mezani kwa amani na utulivu. Hakuna gumu katika meza ya mazungumzo,hakuna lisilowezekana kufikia muafaka.

Yote yanawezekana tukikaa pamoja na kuzungumza. Rais wetu ni msikivu ,Rais wetu yupo Tayari mezani . Tuamkeni na kwenda mezani kuzungumza kwa msitakabali mzima wa Taifa letu. Tusikubali yeyote akatuvuruga na kutujaza na kutupandikiza chuki na uhasama Mioyoni mwetu. Wengine kula yao na shibe ya matumbo yao inategemea zaidi kuleta uchochezi,kupandikiza chuki na kuleta msuguano ndani ya Taifa.tusiingie kwenye mtego wao.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Screenshot_20251218-210002_1.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hotuba ya Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Imeonyesha Kuwapenda na kuwajali sana Watanzania. Ni hotuba iliyoonyesha upendo mkubwa alionao Rais wetu kwa watanzania.

Ni hotuba ambayo imeonyesha muendelezo wa Dhamira ya Dhati ya Rais wetu kutaka kuona wananchi na watanzania wote kwa ujumla wake wakiishi kwa amani ,umoja , mshikamano na Kwa upendo. Ameonyesha nia ya kuliunganisha Taifa letu, nia ya kuponya majeraha kwa yeyote aliyeumizwa na kujeruhiwa .

Ameonyesha nia na dhamira ya dhati kabisa ya kufutana machozi kwa upendo na kusameheana. Mama ameonyesha upendo wake wa dhati na nia ya kujenga na kuimarisha umoja wa kitaifa. Mama yetu ameonyesha utayari wa kukaa mezani na yeyote yule mwenye dukuduku. Amekunjua na kunyoosha mkono wa maridhiano.

Hataki ushindi katika kujenga umoja wa kitaifa. Anataka sote tushirikiane kujenga umoja wa kitaifa.anataka kila mmoja wetu awe na sauti sawa na mwingine.anataka sauti ya kila mmoja wetu isikike na ipewe thamani na sikio . Ndio sababu ta kutaka kuunda tume ya maridhiano. Ndio sababu ya kuwaomba watanzania kuungana kulijenga Taifa letu

Watanzania hatuna budi kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa. Hatutafuti nani kakosea wapi na nani kaharibu wapi. Tunatafuta njia ya kuliponya Taifa letu na kusonga mbele kwa pamoja. Tunatafuta ushindi wetu sote kama Taifa .

Tukunjue mikono yetu ,tunyooshe mikono yetu ya amani . Tukunjue mioyo yetu na kuungana kutafuta ushindi kwa Taifa letu. Sisi sote ni watanzania na jadi yetu ni kuzungumza mezani kwa amani na utulivu. Hakuna gumu katika meza ya mazungumzo,hakuna lisilowezekana kufikia muafaka.

Yote yanawezekana tukikaa pamoja na kuzungumza. Rais wetu ni msikivu ,Rais wetu yupo Tayari mezani . Tuamkeni na kwenda mezani kuzungumza kwa msitakabali mzima wa Taifa letu. Tusikubali yeyote akatuvuruga na kutujaza na kutupandikiza chuki na uhasama Mioyoni mwetu. Wengine kula yao na shibe ya matumbo yao inategemea zaidi kuleta uchochezi,kupandikiza chuki na kuleta msuguano ndani ya Taifa.tusiingie kwenye mtego wao.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3523793
Utter nonsense! Kama anawapenda kwanini anawaua mithili ya mwindaji auavyo wanyamapori? Faki zati bichi.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hotuba ya Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Imeonyesha Kuwapenda na kuwajali sana Watanzania. Ni hotuba iliyoonyesha upendo mkubwa alionao Rais wetu kwa watanzania.

Ni hotuba ambayo imeonyesha muendelezo wa Dhamira ya Dhati ya Rais wetu kutaka kuona wananchi na watanzania wote kwa ujumla wake wakiishi kwa amani ,umoja , mshikamano na Kwa upendo. Ameonyesha nia ya kuliunganisha Taifa letu, nia ya kuponya majeraha kwa yeyote aliyeumizwa na kujeruhiwa .

Ameonyesha nia na dhamira ya dhati kabisa ya kufutana machozi kwa upendo na kusameheana. Mama ameonyesha upendo wake wa dhati na nia ya kujenga na kuimarisha umoja wa kitaifa. Mama yetu ameonyesha utayari wa kukaa mezani na yeyote yule mwenye dukuduku. Amekunjua na kunyoosha mkono wa maridhiano.

Hataki ushindi katika kujenga umoja wa kitaifa. Anataka sote tushirikiane kujenga umoja wa kitaifa.anataka kila mmoja wetu awe na sauti sawa na mwingine.anataka sauti ya kila mmoja wetu isikike na ipewe thamani na sikio . Ndio sababu ta kutaka kuunda tume ya maridhiano. Ndio sababu ya kuwaomba watanzania kuungana kulijenga Taifa letu

Watanzania hatuna budi kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa. Hatutafuti nani kakosea wapi na nani kaharibu wapi. Tunatafuta njia ya kuliponya Taifa letu na kusonga mbele kwa pamoja. Tunatafuta ushindi wetu sote kama Taifa .

Tukunjue mikono yetu ,tunyooshe mikono yetu ya amani . Tukunjue mioyo yetu na kuungana kutafuta ushindi kwa Taifa letu. Sisi sote ni watanzania na jadi yetu ni kuzungumza mezani kwa amani na utulivu. Hakuna gumu katika meza ya mazungumzo,hakuna lisilowezekana kufikia muafaka.

Yote yanawezekana tukikaa pamoja na kuzungumza. Rais wetu ni msikivu ,Rais wetu yupo Tayari mezani . Tuamkeni na kwenda mezani kuzungumza kwa msitakabali mzima wa Taifa letu. Tusikubali yeyote akatuvuruga na kutujaza na kutupandikiza chuki na uhasama Mioyoni mwetu. Wengine kula yao na shibe ya matumbo yao inategemea zaidi kuleta uchochezi,kupandikiza chuki na kuleta msuguano ndani ya Taifa.tusiingie kwenye mtego wao.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3523793
 
Ungejikita katika hoja ndugu yangu kuliko kutumia lugha za kihuni zinazokudhalilisha hata wewe Mwenyewe
Loh! Yaani hata huu mwaka utaendelea na uchawa punguani? Mtu yeyote akisoma andiko lako na akaangalia yanayoendelea, lazima atajua kuwa wewe umepitiwa na uwendawazimu wa namna fulani.

Hivi unajua kuwa mpaka sasa, watu wanaendelea kutekwa na kubambikiwa kesi?

Hivi unajua kuwa Lisu ambaye alimbambikia kesi bado yupo gerezani kwa sababu ya uonevu?

Hivi unajua kuwa maiti alizozifukia kwenye makaburi ya pamoja, na nyingine alizozitupa ziwa Victoria, mpaka sasa zinaendelea kuoza na hajafanya jitihada zozote za kuzitoa ili wakabidhiwe wanafamilia wao?

Hivi unajua kuwa baada ya kupora uchaguzi kwa kuua watu na kisha kujitangaza ushindi, anaendelra kujipongeza kuwa alishinda kwa 98%?

Hivi unajua kuwa huyu mtu ana historia ya uwongo na hadaa? Aluwahadaa watanzania na 4R kisha akaimarisha utekaji na mauaji ya wanaomkosoa. Aliwadanganya Watanzania kuwa eti ameunda tume kufuatia mauaji ya Ali Kibao, wewe uliwahi kuambiwa matokeo ya hiyo tume ya uchunguzi, zaidi ya ile kauli yake ya kubariki mauaji yale kwa kusema kifo ni kifo tu? Karibuni hapa ametamka wazi kuwa eti walioandamana na kuuawa siyo watanzania!! Na kwenye kimao chake na wazee bandia akatamka wazi kuwa kama wazazi walikuwa hawataki watoto wao wasiuawe kwa nini waliwaruhusu watoto wao kuandamana? Amekuwa mwongo mpaka anasahau. Kama walioandamana walikuwa wageni, ina maana hao wazazi wanaishi Tanzania ala watoto wao wanakuwa siyo watanzania!? Hivi mtu mwongo kiasi hiki, unastahili kupoteza muda wako kuipa uzito kauli yake yoyote? Basi utakuwa mwendawazimu.
 
Loh! Yaani hata huu mwaka utaendelea na uchawa punguani? Mtu yeyote akisoma andiko lako na akaangalia yanayoendelea, lazima atajua kuwa wewe umepitiwa na uwendawazimu wa namna fulani.

Hivi unajua kuwa mpaka sasa, watu wanaendelea kutekwa na kubambikiwa kesi?

Hivi unajua kuwa Lisu ambaye alimbambikia kesi bado yupo gerezani kwa sababu ya uonevu?

Hivi unajua kuwa maiti alizozifukia kwenye makaburi ya pamoja, na nyingine alizozitupa ziwa Victoria, mpaka sasa zinaendelea kuoza na hajafanya jitihada zozote za kuzitoa ili wakabidhiwe wanafamilia wao?

Hivi unajua kuwa baada ya kupora uchaguzi kwa kuua watu na kisha kujitangaza ushindi, anaendelra kujipongeza kuwa alishinda kwa 98%?

Hivi unajua kuwa huyu mtu ana historia ya uwongo na hadaa? Aluwahadaa watanzania na 4R kisha akaimarisha utekaji na mauaji ya wanaomkosoa. Aliwadanganya Watanzania kuwa eti ameunda tume kufuatia mauaji ya Ali Kibao, wewe uliwahi kuambiwa matokeo ya hiyo tume ya uchunguzi, zaidi ya ile kauli yake ya kubariki mauaji yale kwa kusema kifo ni kifo tu? Karibuni hapa ametamka wazi kuwa eti walioandamana na kuuawa siyo watanzania!! Na kwenye kimao chake na wazee bandia akatamka wazi kuwa kama wazazi walikuwa hawataki watoto wao wasiuawe kwa nini waliwaruhusu watoto wao kuandamana? Amekuwa mwongo mpaka anasahau. Kama walioandamana walikuwa wageni, ina maana hao wazazi wanaishi Tanzania ala watoto wao wanakuwa siyo watanzania!? Hivi mtu mwongo kiasi hiki, unastahili kupoteza muda wako kuipa uzito kauli yake yoyote? Basi utakuwa mwendawazimu.
Umeongea ujinga mtupu usio na ushahidi wa aina yoyote ile zaidi ya kumezeshwa ujinga na watu waliomahasimu na maadui wa Taifa letu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hotuba ya Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Imeonyesha Kuwapenda na kuwajali sana Watanzania. Ni hotuba iliyoonyesha upendo mkubwa alionao Rais wetu kwa watanzania.

Ni hotuba ambayo imeonyesha muendelezo wa Dhamira ya Dhati ya Rais wetu kutaka kuona wananchi na watanzania wote kwa ujumla wake wakiishi kwa amani ,umoja , mshikamano na Kwa upendo. Ameonyesha nia ya kuliunganisha Taifa letu, nia ya kuponya majeraha kwa yeyote aliyeumizwa na kujeruhiwa .

Ameonyesha nia na dhamira ya dhati kabisa ya kufutana machozi kwa upendo na kusameheana. Mama ameonyesha upendo wake wa dhati na nia ya kujenga na kuimarisha umoja wa kitaifa. Mama yetu ameonyesha utayari wa kukaa mezani na yeyote yule mwenye dukuduku. Amekunjua na kunyoosha mkono wa maridhiano.

Hataki ushindi katika kujenga umoja wa kitaifa. Anataka sote tushirikiane kujenga umoja wa kitaifa.anataka kila mmoja wetu awe na sauti sawa na mwingine.anataka sauti ya kila mmoja wetu isikike na ipewe thamani na sikio . Ndio sababu ta kutaka kuunda tume ya maridhiano. Ndio sababu ya kuwaomba watanzania kuungana kulijenga Taifa letu

Watanzania hatuna budi kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa. Hatutafuti nani kakosea wapi na nani kaharibu wapi. Tunatafuta njia ya kuliponya Taifa letu na kusonga mbele kwa pamoja. Tunatafuta ushindi wetu sote kama Taifa .

Tukunjue mikono yetu ,tunyooshe mikono yetu ya amani . Tukunjue mioyo yetu na kuungana kutafuta ushindi kwa Taifa letu. Sisi sote ni watanzania na jadi yetu ni kuzungumza mezani kwa amani na utulivu. Hakuna gumu katika meza ya mazungumzo,hakuna lisilowezekana kufikia muafaka.

Yote yanawezekana tukikaa pamoja na kuzungumza. Rais wetu ni msikivu ,Rais wetu yupo Tayari mezani . Tuamkeni na kwenda mezani kuzungumza kwa msitakabali mzima wa Taifa letu. Tusikubali yeyote akatuvuruga na kutujaza na kutupandikiza chuki na uhasama Mioyoni mwetu. Wengine kula yao na shibe ya matumbo yao inategemea zaidi kuleta uchochezi,kupandikiza chuki na kuleta msuguano ndani ya Taifa.tusiingie kwenye mtego wao.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3523793
Anampenda bebi wake Makonda!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Hotuba ya Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Imeonyesha Kuwapenda na kuwajali sana Watanzania. Ni hotuba iliyoonyesha upendo mkubwa alionao Rais wetu kwa watanzania.

Ni hotuba ambayo imeonyesha muendelezo wa Dhamira ya Dhati ya Rais wetu kutaka kuona wananchi na watanzania wote kwa ujumla wake wakiishi kwa amani ,umoja , mshikamano na Kwa upendo. Ameonyesha nia ya kuliunganisha Taifa letu, nia ya kuponya majeraha kwa yeyote aliyeumizwa na kujeruhiwa .

Ameonyesha nia na dhamira ya dhati kabisa ya kufutana machozi kwa upendo na kusameheana. Mama ameonyesha upendo wake wa dhati na nia ya kujenga na kuimarisha umoja wa kitaifa. Mama yetu ameonyesha utayari wa kukaa mezani na yeyote yule mwenye dukuduku. Amekunjua na kunyoosha mkono wa maridhiano.

Hataki ushindi katika kujenga umoja wa kitaifa. Anataka sote tushirikiane kujenga umoja wa kitaifa.anataka kila mmoja wetu awe na sauti sawa na mwingine.anataka sauti ya kila mmoja wetu isikike na ipewe thamani na sikio . Ndio sababu ta kutaka kuunda tume ya maridhiano. Ndio sababu ya kuwaomba watanzania kuungana kulijenga Taifa letu

Watanzania hatuna budi kumuunga mkono Rais wetu Mpendwa. Hatutafuti nani kakosea wapi na nani kaharibu wapi. Tunatafuta njia ya kuliponya Taifa letu na kusonga mbele kwa pamoja. Tunatafuta ushindi wetu sote kama Taifa .

Tukunjue mikono yetu ,tunyooshe mikono yetu ya amani . Tukunjue mioyo yetu na kuungana kutafuta ushindi kwa Taifa letu. Sisi sote ni watanzania na jadi yetu ni kuzungumza mezani kwa amani na utulivu. Hakuna gumu katika meza ya mazungumzo,hakuna lisilowezekana kufikia muafaka.

Yote yanawezekana tukikaa pamoja na kuzungumza. Rais wetu ni msikivu ,Rais wetu yupo Tayari mezani . Tuamkeni na kwenda mezani kuzungumza kwa msitakabali mzima wa Taifa letu. Tusikubali yeyote akatuvuruga na kutujaza na kutupandikiza chuki na uhasama Mioyoni mwetu. Wengine kula yao na shibe ya matumbo yao inategemea zaidi kuleta uchochezi,kupandikiza chuki na kuleta msuguano ndani ya Taifa.tusiingie kwenye mtego wao.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3523793
Screenshot_20251230-124956~2.png
 
Back
Top Bottom