Katika ulimwengu wa leo, wanawake wanakabiliwa na changamoto nyingi, hasa katika mazingira ya kazi. Hali hii inajitokeza wazi katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani Magufuli, kilichopo Mbezi. Hapa, wanawake wanaofanya kazi za ujasiriamali wanakutana na unyanyasaji wa kijinsia, kuombwa rushwa...