Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,542
- 2,174
Samia amewakumbuka sasaHizi habari ni za lini?
Katika wananchi ambao wameachwa na Serikali yao Wakati huo huo wanachangia uchumi kwa kiwango Cha juu Sana ni Same Mashariki ...Wanazalisha ndizi Sana zinazoliwa Dar, Wanazalisha Mchele, Wanazalisha Tangawizi , mahindi , maharage , Samaki, Mbuga ya wanyama ya mkomazi
Ila tangu Mwaka 1985 Serikali iliahidi kutengeneza Barabara kwa kiwango Cha lami ila Hadi Leo hamna kitu
Tulipata wabunge wahuni kama vile Chediel Mgonja,
Naghenjwa kaboyoka
Anne Kilango kidogo anaongea bungeni hata kama Serikali haitekekezi ila angalau anaongea
Ila Hawa wengine wametuchuna tu kwa kweli