Rais Samia anaacha alama ya Kudumu ya Kuwatengeneza Mabilionea Wapya Kupitia "Samia Bond". Wakandarasi Mshindwe Wenyewe!

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,115
49,838
Kwa miaka Mingi Wakandarasi wa ndani Wameshindwa kukua na kuweza kushindana na wakandarasi wa kigeni kutokana na ukata wa Fedha.

Aidha utaratibu wa malipo ilipelekea wengi kuwa na Madeni makubwa ya Riba yaliyopelekea kufilisika na kuuza Mali zao licha ya ukweli kwamba wako kwenye sekta ya ujenzi ambayo inatakiwa Kuzalisha Mabilionea na walipakodi.

Serikali ya Rais Samia inaenda kubadilisha historia hiyo ya maumivu Kwa kuunda "Samia Bond" ambayo itakuwa ni dhamana itakayowawezesha Wakandarasi kuwa na uhakika wa pesa ya kufanya kazi Kwa haraka na kupata malipo fasta Kupitia Watoa Fedha huku Mabenki au taasisi za Fedha zikiendelea kulipwa Kwa njia ya bonds na Serikali mdogo mdogo.

View: https://www.instagram.com/p/C2fFZzJNoWV/?igsh=MW0yYjUwemk4M2tsZA==

My Take
Isipokuwa Tajiri awamu hii ya Rais Samia basi hautakuja kuwa Tajiri tena maana Marais wenye akili Huwa hawapatika I mara Kwa mara.

View: https://www.instagram.com/reel/C2e7Qq5ODKG/?igsh=ZXVxZTIzdGI4NWZ3

Pia Soma hapa 👇👇
 
Nawakumbusha tuu katika kuwainua Wakandarasi Wazawa Serikali ya Samia imefanya mengine yafuatayo

-Imeongeza kiwango Cha thamani ya kazi za wazawa kutoa bil 10 Hadi Bilioni 50
-Imeongeza kiwango Cha local content ya kazi zinazofanywa na Wageni ambao lazima qashilikoane na wakandarasi wa ndani Kwa 40% ya thamani ya mradi.Yaank Subcontractors ni lazima kwenye miradi inayofanywa na Wageni.
 
Kwa miaka Mingi Wakandarasi wa ndani Wameshindwa kukua na kuweza kushindana na wakandarasi wa kigeni kutokana na ukata wa Fedha.

Aidha utaratibu wa malipo ilipelekea wengi kuwa na Madeni makubwa ya Riba yaliyopelekea kufilisika na kuuza Mali zao licha ya ukweli kwamba wako kwenye sekta ya ujenzi ambayo inatakiwa Kuzalisha Mabilionea na walipakodi.

Serikali ya Rais Samia inaenda kubadilisha historia hiyo ya maumivu Kwa kuunda "Samia Bond" ambayo itakuwa ni dhamana itakayowawezesha Wakandarasi kuwa na uhakika wa pesa ya kufanya kazi Kwa haraka na kupata malipo fasta Kupitia Watoa Fedha huku Mabenki au taasisi za Fedha zikiendelea kulipwa Kwa njia ya bonds na Serikali mdogo mdogo.

View: https://www.instagram.com/p/C2fFZzJNoWV/?igsh=MW0yYjUwemk4M2tsZA==

My Take
Isipokuwa Tajiri awamu hii ya Rais Samia basi hautakuja kuwa Tajiri tena maana Marais wenye akili Huwa hawapatika I mara Kwa mara.

View: https://www.instagram.com/reel/C2e7Qq5ODKG/?igsh=ZXVxZTIzdGI4NWZ3

Huu ni miomgoni mwa uzalendo wa kiwango cha juu zaidi kufanywa na kiongozi wa nchi, Tanzania

viva President Samia Suluhu Hassan vivaaa......
 
Huu ni miomgoni mwa uzalendo wa kiwango cha juu zaidi kufanywa na kiongozi wa nchi, Tanzania

viva President Samia Suluhu Hassan vivaaa......
Uzuri wa Samia ana akili na anataka kuona Nchi hii na watu wake wanabadili maisha Yao na kuwa na ukurasa Mpya wa mafanikio.

Kuanzia kwenye Kilimo Hadi kwenye miundombinu ya uchumi na Jamii na ni mwana Mageuzi kweli kweli.
 
Uzuri wa Samia ana akili na anataka kuona Nchi hii na watu wake wanabadili maisha Yao na kuwa na ukurasa Mpya wa mafanikio.

Kuanzia kwenye Kilimo Hadi kwenye miundombinu ya uchumi na Jamii na ni mwana Mageuzi kweli kweli.
na nzuri zaidi huwa haforce mambo,

ana buni mambo kwa utulivu na umahiri sana, anapanga kwa umakini mkubwa na anatekeleza kwa weledi na viwango vya level ya juu sana,
na mambo yanafanyika na yanaonekana kwa uwazi mchana kweupe na kila mtanzania anaona mwenyewe....
 
Kwa miaka Mingi Wakandarasi wa ndani Wameshindwa kukua na kuweza kushindana na wakandarasi wa kigeni kutokana na ukata wa Fedha.

Aidha utaratibu wa malipo ilipelekea wengi kuwa na Madeni makubwa ya Riba yaliyopelekea kufilisika na kuuza Mali zao licha ya ukweli kwamba wako kwenye sekta ya ujenzi ambayo inatakiwa Kuzalisha Mabilionea na walipakodi.

Serikali ya Rais Samia inaenda kubadilisha historia hiyo ya maumivu Kwa kuunda "Samia Bond" ambayo itakuwa ni dhamana itakayowawezesha Wakandarasi kuwa na uhakika wa pesa ya kufanya kazi Kwa haraka na kupata malipo fasta Kupitia Watoa Fedha huku Mabenki au taasisi za Fedha zikiendelea kulipwa Kwa njia ya bonds na Serikali mdogo mdogo.

View: https://www.instagram.com/p/C2fFZzJNoWV/?igsh=MW0yYjUwemk4M2tsZA==

My Take
Isipokuwa Tajiri awamu hii ya Rais Samia basi hautakuja kuwa Tajiri tena maana Marais wenye akili Huwa hawapatika I mara Kwa mara.

View: https://www.instagram.com/reel/C2e7Qq5ODKG/?igsh=ZXVxZTIzdGI4NWZ3

Rubbish
 
Back
Top Bottom