Ni mkooa ambao kila mpuuzi anapelekwa hukoMi nadhani Arusha ya sasa ni kama lindi tu machali wamechoka sana
Bangi zimewamaliza vjanMi nadhani Arusha ya sasa ni kama lindi tu machali wamechoka sana
Bila hiki chama kuondoka watu ndo hao haoHivi, hakuna watu wengine?
Jirani zako wa Kenya wana katiba mpya, imewasaidia nini mpaka sasa zaidi ya kuvuruga nchi yao?Ndugu zangu hii nchi inahitaji Katiba mpya ya Wananchi! Namaanisha ile iliyopendekezwa kwenye Rasimu ya Katiba ya Jaji Warioba! Kinyume na hapo, watawala wataendelea kutuona kama maiti zinazotembea, mpaka kiama.
Kinyume na hapo ajitokeze tu Ibra Traore wa Bongo, halafu afanye ya kwake.