Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,333
- 24,225
Mazingira ya biashara yanatawaliwa na utulivu na amani.Kuna tofauti kubwa Sana ya Uongozi kutoka awamu ya 6 na ya 5..
Kila sekta,Rais Samia ameonyesha ufanisi wa Hali ya Juu..
Dart ilikuwa inapata hasara Sana na walikuwa na magari machache lakini baada ya serikali ya SSH kutoa pesa walinunua magari na wamebadili mtindo wa ukatishaji tiketi matokeo yake sasa ndio haya ..
Hongera Rais Samia Kwa kuonyesha uongozi
View attachment 2245277View attachment 2245278
Sasa mtu akikaa kitini na wasiwasi wa kutumbuliwa anakuwa na mguu mmoja ndani na mguu mwingine wa kukimbia eneo la kazi.