GOAT25
Member
- Nov 29, 2021
- 23
- 16
Ndugu zangu nawasalimu kwa jina la JMT
Kazi iendelee!
Kwa jinsi awamu ya sita toka imeingia madarakani takribani miezi nane sasa.
Rais SSH amedhihirisha utendaji wake wa kazi ni awamu ya pili, na tatu, combined.
RUKHSA (awamu ya pili)
Rais SSH amekuwa akisisitiza Mara nyingi kuifungua nchi hasa katika suala la biashara nchini na kuimarisha diplomasia ya kiuchumi ni Jana tu ameruhusu sukari ya UG kupewa kibali kuuzwa TZ ili kumsaidia mwananchi anunue sukari kwa bei rahisi.
Achilia mbali biashara kati ya KENYA na TZ kuimarika. Rais Mstaafu Mwinyi alipochukua madaraka alikuwa na agenda ya rukhsa ambayo Rais SSH anatekeleza.
UWAZI NA UKWELI, DIPLOMASIA, UWEKEZAJI (awamu ya tatu)
Mambo hayo ndio yalikuwa Sera kuu ya awamu ya tatu ya Hayati BMW.
Tumeona hayo yakitekelezwa na Rais SSH
kwenye diplomasia, na uwekezaji, mazingira ya uwekezaji yameboreshwa kutoka kupata kibali mwezi mmoja Hadi siku 1.
Kwenye uwazi na ukweli wote ni mashahidi jinsi uwazi wa mkopo wa 1.3tr wa IMF ulivyowekwa bayana na matumizi yake
Hakika tuna matumaini mazuri mengi yatakuja kutoka kwa Rais SSH
Mungu ibariki TZ
Signed out
GOAT 25
Kazi iendelee!
Kwa jinsi awamu ya sita toka imeingia madarakani takribani miezi nane sasa.
Rais SSH amedhihirisha utendaji wake wa kazi ni awamu ya pili, na tatu, combined.
RUKHSA (awamu ya pili)
Rais SSH amekuwa akisisitiza Mara nyingi kuifungua nchi hasa katika suala la biashara nchini na kuimarisha diplomasia ya kiuchumi ni Jana tu ameruhusu sukari ya UG kupewa kibali kuuzwa TZ ili kumsaidia mwananchi anunue sukari kwa bei rahisi.
Achilia mbali biashara kati ya KENYA na TZ kuimarika. Rais Mstaafu Mwinyi alipochukua madaraka alikuwa na agenda ya rukhsa ambayo Rais SSH anatekeleza.
UWAZI NA UKWELI, DIPLOMASIA, UWEKEZAJI (awamu ya tatu)
Mambo hayo ndio yalikuwa Sera kuu ya awamu ya tatu ya Hayati BMW.
Tumeona hayo yakitekelezwa na Rais SSH
kwenye diplomasia, na uwekezaji, mazingira ya uwekezaji yameboreshwa kutoka kupata kibali mwezi mmoja Hadi siku 1.
Kwenye uwazi na ukweli wote ni mashahidi jinsi uwazi wa mkopo wa 1.3tr wa IMF ulivyowekwa bayana na matumizi yake
Hakika tuna matumaini mazuri mengi yatakuja kutoka kwa Rais SSH
Mungu ibariki TZ
Signed out
GOAT 25