Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, akiwa njiani kuelekea ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuchukua fomu kuelekea ya Urais, Wananchi wa Chamwino wamemchangia Tsh. 200,000.
Baada ya kuchangiwa, Rais Samia amesema “Nawashukuru kwa kuja kuniunga mkono katika safari hii ninayoanza ya kwenda kukisemea Chama chetu ili tupate ridhaa ya kuongoza tena nchi yetu, leo tunakwenda kuchukua fomu nitakuja mnidhamini ili tuanze ile safari sasa.
Baada ya kuchangiwa, Rais Samia amesema “Nawashukuru kwa kuja kuniunga mkono katika safari hii ninayoanza ya kwenda kukisemea Chama chetu ili tupate ridhaa ya kuongoza tena nchi yetu, leo tunakwenda kuchukua fomu nitakuja mnidhamini ili tuanze ile safari sasa.