Rais Samia akoleza uchumi wa viwanda

Rais Samia akoleza uchumi wa viwanda

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
527
Reaction score
498
✓Bidhaa za Tanzania zaanza kukamata masoko nje ya nchi.

✓Ni baada ya kuzalisha zaidi na kutosheleza soko la ndani.

✓Changamoto aliyorithi ya uhaba wa sukari ameigeuza fursa.
20260526_071256.jpg
 
✓Bidhaa za Tanzania zaanza kukamata masoko nje ya nchi.

✓Ni baada ya kuzalisha zaidi na kutosheleza soko la ndani.

✓Changamoto aliyorithi ya uhaba wa sukari ameigeuza fursa.View attachment 3595208
Mtawala anaechukiwa zaidi na watu wake tangu Tz ipate uhuru,haendi kuzika Chato na Kikwete? Akaweke mauwa pia ktk kiburi lililompa utawala.
 
✓Bidhaa za Tanzania zaanza kukamata masoko nje ya nchi.

✓Ni baada ya kuzalisha zaidi na kutosheleza soko la ndani.

✓Changamoto aliyorithi ya uhaba wa sukari ameigeuza fursa.View attachment 3595208
Dr Samia Suluhu Hassan ni champion wa uchumi Tanzania na Africa kwa ujumla.

Well done mama 👏
 
viwanda vipi wee bwabwa , mmetengeneza umasikini kwa vijan ajira hakuna , wamejiajiri wenyewe kwa kuendesha mapikipiki mkajidai kuwapa majina ooh maafisa usafirishaji na wao walivyokuwa maboya wanakubali kabisa kwamba hiyo ni ajira rasmi tena imetengenezwa na serikali yenu haramu. Maisha ya bongo mafuta lita karibia buku tano wee umbwa unakuja kuleta ngonjera huku, kisa umelipwa vibukubuku ulambe makalio ya mama abduli, SHAME.
 
Back
Top Bottom