Rais Samia afanya uteuzi Huu

Rais Samia afanya uteuzi Huu

Prof. Assad angewekwa hapo kwenye Kodi badala ya Ombeni Sefue

Lucas Mwashambwa angalau apewe Ukatibu tawala Wilaya
Sema Assad angekuwa mwenyekiti wa hyo tume na pia baadhi ya wawalilishi wa wafanyabihashara wangejumuishwa.
 
Sema Assad angekuwa mwenyekiti wa hyo tume na pia baadhi ya wawalilishi wa wafanyabihashara wangejumuishwa.
Tume inafanya kazi kwa pamoja ndugu yangu.kwa hiyo mawazo ya kila mtu yatazingatiwa na kufanyiwa kazi.
 
Ni hatua nzuri
Ni maamuzi muhimu
Ipo tija kubwa ikiwa chombo husika kitafanya kazi kwa weredi na uhalisia

Ombi ni waongezwe wajumbe toka kwenye chama cha Wenye Viwanda,TPSF na TCCIA..
 
Back
Top Bottom