Kaa kwa kutulia wewe.teuzi la mwisho mwisho …
Kaa kwa kutulia wewe.
Mwaka huu wivu wako na chuki binafsi kwa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa zitakuua. Rais wetu tunaye na tunaendelea kutamba naye hadi 2030Kuna siku Dr. Bashiru na wale wote waliopinga huyu bibi kuwa rais watatunukiwa nishani ya taifa ya heshima.
Nakuja Mbeya huko na pesa yote ya mafao ya uzeeni tuitumie ujanani mama.Tumia pesa ikuzoee
Kabisa kabisa...maana kufa kwajaNakuja Mbeya huko na pesa yote ya mafao ya uzeeni tuitumie ujanani mama.
Hujawahi kuwa na akiliNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge amefanya uteuzi huu.
Sitaki kuwachosha ila nawaachia na kuwawekea Taarifa ya Ikulu ili Msome wenyewe Muone wenyewe nani kateuliwa na Rais wetu anayesifika kwa ujasiri,umadhubuti , ushupavu,uimara na Umakini wa hali ya juu sana wa kiuongozi.
Rais Mwenye maamuzi Magumu lakini makini na asiye ogopa wala kuhofia wala kuteteleshwa wala katika kufanya maamuzi Mazito kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
Rais Ambaye Ameowaonyesha kwa Vitendo Watanzania kwa nini anastahili kupewa muhula wa pili.Rais Samia ni kiongozi ambaye amewafanya Watanzania wajivunie na kutembea vifua mbele ,Kiongozi ambaye amempa sababu kila mtanzania ya kumpigia kura ya ndio hapo Mwakani,Rais na kiongozi ambaye Ameowaonyesha Watanzania kuwa Urais wake hauna ubia na mtu zaidi ya kuwatumikia watanzania ambao ndio wabia wake waliompatia mamlaka yote na nguvu zote kikatiba na kisheria.
Rais Samia ni kiongozi aliyelituliza Taifa na kulifanya kutamalaki kwa amani , utulivu na upendo.Taifa sasa lina zungumza lugha moja na hata maadui hawawezi kupenya katikati yetu kwa kuwa tupo pamoja hatupo tayari kumkabili adui yeyote yule atakayejitokeza mbele yetu kama Taifa.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3057902
Kwa hivyo hii nchi ina ongozwa na tume kila mahali.Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge amefanya uteuzi huu.
Sitaki kuwachosha ila nawaachia na kuwawekea Taarifa ya Ikulu ili Msome wenyewe Muone wenyewe nani kateuliwa na Rais wetu anayesifika kwa ujasiri,umadhubuti , ushupavu,uimara na Umakini wa hali ya juu sana wa kiuongozi.
Rais Mwenye maamuzi Magumu lakini makini na asiye ogopa wala kuhofia wala kuteteleshwa wala katika kufanya maamuzi Mazito kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
Rais Ambaye Ameowaonyesha kwa Vitendo Watanzania kwa nini anastahili kupewa muhula wa pili.Rais Samia ni kiongozi ambaye amewafanya Watanzania wajivunie na kutembea vifua mbele ,Kiongozi ambaye amempa sababu kila mtanzania ya kumpigia kura ya ndio hapo Mwakani,Rais na kiongozi ambaye Ameowaonyesha Watanzania kuwa Urais wake hauna ubia na mtu zaidi ya kuwatumikia watanzania ambao ndio wabia wake waliompatia mamlaka yote na nguvu zote kikatiba na kisheria.
Rais Samia ni kiongozi aliyelituliza Taifa na kulifanya kutamalaki kwa amani , utulivu na upendo.Taifa sasa lina zungumza lugha moja na hata maadui hawawezi kupenya katikati yetu kwa kuwa tupo pamoja hatupo tayari kumkabili adui yeyote yule atakayejitokeza mbele yetu kama Taifa.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3057902
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge amefanya uteuzi huu.
Sitaki kuwachosha ila nawaachia na kuwawekea Taarifa ya Ikulu ili Msome wenyewe Muone wenyewe nani kateuliwa na Rais wetu anayesifika kwa ujasiri,umadhubuti , ushupavu,uimara na Umakini wa hali ya juu sana wa kiuongozi.
Rais Mwenye maamuzi Magumu lakini makini na asiye ogopa wala kuhofia wala kuteteleshwa wala katika kufanya maamuzi Mazito kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
Rais Ambaye Ameowaonyesha kwa Vitendo Watanzania kwa nini anastahili kupewa muhula wa pili.Rais Samia ni kiongozi ambaye amewafanya Watanzania wajivunie na kutembea vifua mbele ,Kiongozi ambaye amempa sababu kila mtanzania ya kumpigia kura ya ndio hapo Mwakani,Rais na kiongozi ambaye Ameowaonyesha Watanzania kuwa Urais wake hauna ubia na mtu zaidi ya kuwatumikia watanzania ambao ndio wabia wake waliompatia mamlaka yote na nguvu zote kikatiba na kisheria.
Rais Samia ni kiongozi aliyelituliza Taifa na kulifanya kutamalaki kwa amani , utulivu na upendo.Taifa sasa lina zungumza lugha moja na hata maadui hawawezi kupenya katikati yetu kwa kuwa tupo pamoja hatupo tayari kumkabili adui yeyote yule atakayejitokeza mbele yetu kama Taifa.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3057902
Nakusamehe bure kabisa maana najuwa una matatizo makubwa sana kichwani mwakoHujawahi kuwa na akili
Tume itatoa mapendekezo ambayo yatapaswa kutekelezwa na wizara ya Fedha.Ndio maana unaona tume hiyo imesheheni watu wenye uzoefu na ubobezi katika masuala mbalimbali ya kifedha na sheria.Kwa hivyo hii nchi ina ongozwa na tume kila mahali.
Sasa kazi ya wizara ya fedha ina majukumu gani?
Piga chini waziri.
🏴☠️☠️💀Sefue ana uzoefu gani wa masuala ya kodi
Si kwa ubaya ila Tanzania Kuna Kamati na tume Nyingi ambazo hakuna ufanisi kabisa wa hizo kazi. Kila kitu kinaundiwa Kamati na tume. Hii issue ya kodi nadhani Waziri mkuu aliunda Kamati akawapoza wafanyabiashara ila hakuna kilichotendeka, tume yabkurekebisha Sheria, tume ya haki za binadamu, Kikosi kazi Cha katiba, Kamati ya nini sijui, tume ya haki jinai, tume ya Kodi, tume, tume, tume ila implementation tu ni ZERONdugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge amefanya uteuzi huu.
Sitaki kuwachosha ila nawaachia na kuwawekea Taarifa ya Ikulu ili Msome wenyewe Muone wenyewe nani kateuliwa na Rais wetu anayesifika kwa ujasiri,umadhubuti , ushupavu,uimara na Umakini wa hali ya juu sana wa kiuongozi.
Rais Mwenye maamuzi Magumu lakini makini na asiye ogopa wala kuhofia wala kuteteleshwa wala katika kufanya maamuzi Mazito kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
Rais Ambaye Ameowaonyesha kwa Vitendo Watanzania kwa nini anastahili kupewa muhula wa pili.Rais Samia ni kiongozi ambaye amewafanya Watanzania wajivunie na kutembea vifua mbele ,Kiongozi ambaye amempa sababu kila mtanzania ya kumpigia kura ya ndio hapo Mwakani,Rais na kiongozi ambaye Ameowaonyesha Watanzania kuwa Urais wake hauna ubia na mtu zaidi ya kuwatumikia watanzania ambao ndio wabia wake waliompatia mamlaka yote na nguvu zote kikatiba na kisheria.
Rais Samia ni kiongozi aliyelituliza Taifa na kulifanya kutamalaki kwa amani , utulivu na upendo.Taifa sasa lina zungumza lugha moja na hata maadui hawawezi kupenya katikati yetu kwa kuwa tupo pamoja hatupo tayari kumkabili adui yeyote yule atakayejitokeza mbele yetu kama Taifa.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.View attachment 3057902
Amekumbukwa amepata kibarua cha muda kwenye uboreshaji wa daftari la wapiga kura ndiyo maana siku hizi yale mashudu yake yamepungua humu.Prof. Assad angewekwa hapo kwenye Kodi badala ya Ombeni Sefue
Lucas Mwashambwa angalau apewe Ukatibu tawala Wilaya
Hayo yote yanafanywa vyema sana na serikali ya Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu HasssanKabla ya serikali kuanza kushughulika na utitiri wa kodi, mfumo wa kodi, aina za kodi n.k, inapaswa iweke msingi kwenye mambo haya:
1. Kama nchi tupunguze utegemezi na tuongeze uzalishaji kwa kujenga viwanda.
2. Nchi ijenge mazingira ya kujenga uwezo nguvu kazi kujiajiri.
3. Kuongeza uwezo wa matumizi ya ICT kuepuka rushwa.
4. Kufuatilia vyanzo vya mali na fedha vya watumishi wake, wengi ni wala rushwa.