Jamaa yetu si ungejibu Hoja kutokana na Hoja? sasa matusi ya nini tena
- Hapa tunazungumzia Kagame anaweza kushtakiwa 'The Hague' KWELI / SI-KWELI basi
- Mimi nakuuliza aliyeitungua Ndege ya Habyarimana ni Kagame je ni KWELI / SI-KWELI
- Hapa katika maziwa makuu Dictoter No 1 asiyetaka kung'oka Madarakani na kuwaua /kuwafunga hata wapinzani wake hususani Wanawake ni PAUL KAGAME jibu kifupi tu KWELI / SI KWELI
TUANZE KUKUPOROMOSHEA USHAHIDI HAPA, mpaka uliouchangia wewe
Koba kuhusu kifo cha Imran Kombe au ule wa Mchungaji Christopher Mtikila wa DP
P/se lugha za matusi Jukwaa hili haziruhusiwi
JamiiForums Disclaimer and Rules
- If you participate in any forum on the site, you warrant that you will not:
- Defame, abuse, harass or threaten others
- Make any bigoted, hateful, or racially offensive statements
- Advocate illegal activity or discuss illegal activities with the intent to commit them