Rais Obama awakataza uhamiaji kurudisha 'young illegal immigrants'!...Wabeba maboksi wenzangu mpo?

Hapo umeongea vya maana kidogo. Mtu lazima ujue pale unaposhindwa halafu utafute njia zingine. Ni kama pale unapofanya mtihani. Kama kuna swali gumu limekushinda huwezi tuu kung'ang'ania kulijibu mpaka muda unakwisha. Liruke tuu hilo swali halafu jibu mengine. Kuna watu wengi majuu wameshindwa lakini bado wanang'ang'ania. Nasema tumia formula hii kujua kama maisha ya majuu yamekushinda. Kama upo US unafanya kazi huendi shule halafu mshahara wako wa ni chini ya dola USD 85,000 kwa mwaka, wewe umeshindwa. Tafuta plan B au rudi bongo. Using'ang'anie tuu Marekani. Maisha ni mafupi sana. Ukilala ukiamka utajikuta ujana umekupita wewe bado unayakimbiza maisha ya Marekani. Msikae tuu kuishi ma ghetto, watoto wenu wanaenda shule za wajinga wajinga maana US shule za watoto zinaenda na unakoishi. Ukiishi mashenzini na shule za watoto wako zitakuwa ni zile zile za wachovu. Tena sasa hivi uchumi wa Marekani uko dhoofu, ni muda mzuri sana wa wewe kufunga virago. Tena hakuna atakayekulaumu au kukucheka. Maana wengi wanataabika siyo wewe tuu.

Hadithi za vijiweni zitakwisha lini? Hivi unaijua thamani ya dola? USD 85,000 unaijua au umepata wepesi wa kuaindika? Daktari aliyemaliza majaribio na kuanza kazi hatengezi USD 85,000 mkiwa kwenye hivyo vijiwe vya kahawa uliza kwanza; hivi kwa akili inakujia ukishindwa na maisha Marekani ya bongo utayaweza? Msipoteze muda kuandika vitu msivyovijua Marekani maisha tambarare asiyefanya kazi jua fika hataki kufanya kazi.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
sawa kama wewe unaona kua care worker is a career job utaiweka kwenye cv yako hamna neno. Mi nimeshaishi ulaya na naweza sema wengi wanaofanya kazi za namna hiyo maisha yao sio mazuri wanaishi tu kama kawaida(bread n butter), but kila mtu kapangiwa pa kutafutia maisha sio, niliishi ulaya for more than 10yrs sikuona cha maana opportunities zipo lakini wanapewa wazungu zaidi nikaona upuuzi nikaamua kurudi bongo and right now am doing way better than when i was abroad. Mimi nina friends in the US wao ni kazi, house party, kupiga deals, kukamatwa na kuwekwa jela. Hayo maisha ya namna hiyo siwezi kuyafanya alafu such ppo unakuta huku nyumbani wana familia zenye uwezo wangeweza kuja huku wakaendeleza biashara za wazazi wao lakini toto halitaki kurudi na shule hajamaliza. but am sure kuna tanzanians huko wasomi na wana kazi nzuri sema ni asilimia chache sana.

Another Tom, Dick and Harry story; when you argue come up with points to validate your story, like which part of Europe you lived, was it Croatia, Ukraine or Poland? I still don`t get it when you said you were discriminated and most job were offered to white instead of you, do you know how many Tanzanians were forced to come back to US because they could not get no job in Tanzania just because they did not have Godfather? I doubt your story are sure of what you are talking about? EU and US have strong labor laws, its against the laws to discriminate anyone in terms of race, color, religion .......; you can finish the rest. Care worker is profession like any other profession that why you need a license.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Another Tom, Dick and Harry story; when you argue come up with points to validate your story, like which part of Europe you lived, was it Croatia, Ukraine or Poland? I still don`t get it when you said you were discriminated and most job were offered to white instead of you, do you know how many Tanzanians were forced to come back to US because they could not get no job in Tanzania just because they did not have Godfather? I doubt your story are sure of what you are talking about? EU and US have strong labor laws, its against the laws to discriminate anyone in terms of race, color, religion .......; you can finish the rest. Care worker is profession like any other profession that why you need a license.

Chama
Gongo la Mboto DSM

we kweli bado ni mtoto....yaani hiyo sheria hapo juu kweli kwa akili do u think inafuatiliwa? mimi nina mifano hai ambayo unaona kabisa wafanyakazi from developing world wananyanyaswa. Kuna a friend of mine who was a manager kwenye kampuni flani UK aliniambiaga kua maboss walishadiscuss kua wakiwa wana recruit wanataka mtu mweusi asizidi mmoja bt hiyo ni off the record so wakati wanaongea na agencies za kazi wanawaambia only one black guy wanataka hata kama wana talent bt kwa sababu ya image yao na customers/clients wao ni from a certain area ambayo hawatapendezwa kuona watu weusi wengi. Hivyo vitu vipo. Bongo yenyewe unaona jinsi ambayo mtu unakosa kazi kwa sababu huna connections na wote ni watu weusi ndio itakua abroad.
 
Hapo umeongea vya maana kidogo. Mtu lazima ujue pale unaposhindwa halafu utafute njia zingine. Ni kama pale unapofanya mtihani. Kama kuna swali gumu limekushinda huwezi tuu kung'ang'ania kulijibu mpaka muda unakwisha. Liruke tuu hilo swali halafu jibu mengine. Kuna watu wengi majuu wameshindwa lakini bado wanang'ang'ania. Nasema tumia formula hii kujua kama maisha ya majuu yamekushinda. Kama upo US unafanya kazi huendi shule halafu mshahara wako wa ni chini ya dola USD 85,000 kwa mwaka, wewe umeshindwa. Tafuta plan B au rudi bongo. Using'ang'anie tuu Marekani. Maisha ni mafupi sana. Ukilala ukiamka utajikuta ujana umekupita wewe bado unayakimbiza maisha ya Marekani. Msikae tuu kuishi ma ghetto, watoto wenu wanaenda shule za wajinga wajinga maana US shule za watoto zinaenda na unakoishi. Ukiishi mashenzini na shule za watoto wako zitakuwa ni zile zile za wachovu. Tena sasa hivi uchumi wa Marekani uko dhoofu, ni muda mzuri sana wa wewe kufunga virago. Tena hakuna atakayekulaumu au kukucheka. Maana wengi wanataabika siyo wewe tuu.

Nakubaliana na wewe kabisa. Kuna rafiki yangu kaishi UK for 20yrs, mpaka leo hana nyumba yake hana hata gari na anafanya kazi kwenye warehouse sasa hivi ana miaka 43 kaenda uk akiwa na miaka 20, sasa mtu kama huyo ndio basi tena maisha yameshampita hajafanya lolote sana sana kazaa mtoto basi. Hela yake ni mouth to mouth, akipata ni kwenda club kulipa rent na chakula. Hataki hata kurudi bongo nikimuuliza kwa nini anasema anaona aibu coz wenzake waliorudigi wako mbali sana kimaisha.
 
we kweli bado ni mtoto....yaani hiyo sheria hapo juu kweli kwa akili do u think inafuatiliwa? mimi nina mifano hai ambayo unaona kabisa wafanyakazi from developing world wananyanyaswa. Kuna a friend of mine who was a manager kwenye kampuni flani UK aliniambiaga kua maboss walishadiscuss kua wakiwa wana recruit wanataka mtu mweusi asizidi mmoja bt hiyo ni off the record so wakati wanaongea na agencies za kazi wanawaambia only one black guy wanataka hata kama wana talent bt kwa sababu ya image yao na customers/clients wao ni from a certain area ambayo hawatapendezwa kuona watu weusi wengi. Hivyo vitu vipo. Bongo yenyewe unaona jinsi ambayo mtu unakosa kazi kwa sababu huna connections na wote ni watu weusi ndio itakua abroad.

Mtoto wa mjini;
Nilishasema hizi ni hadithi za Tom, Dick and Harry nilitegemea uje na jibu ni vipi ulinyimwa kazi lakini matokeo umekuja na hadithi za kusadikika "aliniambiaga kua maboss walishadiscuss kua wakiwa wana recruit wanataka mtu mweusi asizidi mmoja bt hiyo ni off the record so wakati wanaongea na agencies za kazi wanawaambia only one black guy wanataka hata kama wana talent bt kwa sababu ya image yao na customers/clients wao ni from a certain area ambayo hawatapendezwa kuona watu weusi wengi." UK nakwenda kimatembezi tu wengi ya waafrika wanaofanya kazi kupitia agencies hawana papers na matokeo yake wanafanya vibarua kupitia kwenye Agencies, wengi wenye papers na walioamua kwenda shule wana kazi zinazoeleweka hapo hapo UK kulishakuwa na mtanzania Benki kuu ya Uingereza alifikia rank ya kuwa senior financial analyst; hapa Marekani nilipo wapo watanzania wapo watanzania ni wana nafasi za juu kwenye mashirika makubwa si hadithi; ninapokwambia labor laws hapa Marekani hakuna anayezichezea sisi tunaofanya kazi ndio tunajua haki zetu; nimeipenda sana hii "Bongo yenyewe unaona jinsi ambayo mtu unakosa kazi kwa sababu huna connections na wote ni watu weusi ndio itakua abroad" sasa ikiwa huu ubaguzi unao uoengelea Tanzania upo sasa unataka kiwalete kitu gani si afadhali hata hapo UK wanapata riziki zao? Usifikirie kwamba watu wanashindwa kuja Tanzania hawana papers sasa je swali waje Tanzania wawe wazururaji au wabakie wafanye kazi na kutunza familia? Naamini wewe na kumh ni wabangaizaji tu vijiweni hamna shughuli za uhakika na mna hasira ya maisha. Vijana wengi waliopo hapa US ni tegemezi kwa familia zao na wanamudu kuzisaidia; tafuteni njia na nyie mje hupa tambarare tu hizo hadithi za Tom, Dick and Harry haziwasaidii kwenye maisha yenu.

Chama
Gongo la Mboto DSM


 
sawa kama wewe unaona kua care worker is a career job utaiweka kwenye cv yako hamna neno. Mi nimeshaishi ulaya na naweza sema wengi wanaofanya kazi za namna hiyo maisha yao sio mazuri wanaishi tu kama kawaida(bread n butter), but kila mtu kapangiwa pa kutafutia maisha sio, niliishi ulaya for more than 10yrs sikuona cha maana opportunities zipo lakini wanapewa wazungu zaidi nikaona upuuzi nikaamua kurudi bongo and right now am doing way better than when i was abroad. Mimi nina friends in the US wao ni kazi, house party, kupiga deals, kukamatwa na kuwekwa jela. Hayo maisha ya namna hiyo siwezi kuyafanya alafu such ppo unakuta huku nyumbani wana familia zenye uwezo wangeweza kuja huku wakaendeleza biashara za wazazi wao lakini toto halitaki kurudi na shule hajamaliza. but am sure kuna tanzanians huko wasomi na wana kazi nzuri sema ni asilimia chache sana.

Sina zaidi cha kuongeza maana unakubaliana na nilichoongea.
 
Umeishiwa la kusema mambo ya kusikia kwenye vilinge vya kahawa; hapo Tanzania Breweries hakuna pallet? Muhimbili hakuna manesi? Hapo umetaja taaluma za kawaida sana; Usisahau wapo wabongo wengi tu waliopo huku wanafanya vizuri kuliko wewe; yupo jamaa yangu alidanganywa na ndugu zake arudi kila kitu kitakuwa safi nilimkuta hapo Dar anajuta la kufanya hana na kurudi US hawezi; Usitake kudanganya watu.

Chama
Gongo la Mboto DSM

Msitulaghai wakati tuna mfano hai hapahapa JF (The Big show - Le Mutuz) amekaa huko manchi yenu for years na anajigmba amesoma na anamaexposure lakini tunachoshuhudia ni misele kama pikipiki za Toyo. Hajulikani anaishi wapi maana kila siku kujinadi mara sijui Tabata au CVU, hajulikani ni under 18 au over 50 maana hata familia haitambui ukimsikia full stress mara shogangu Sinta, Joket aaagh yaani anapenda ofa na pati za kudoea ukimuona utafikiri chakuraaa.
 
Mkuu, tafadhali mkuu.

Majuu kuna kazi nyingi tu nzuri na za maana zenye kuingiza kipato halali.

Kazi hizo ulozitaja kuna baadhi ya watanzania ndio wamejengea nyumba huko TZ na kuchukua mortgage huko majuu na pia kuanzisha shughuli nyingi za kuingiza kipato kwa ndugu zao.

Unajichanganya sana kwani hizi kazi kwa huko TZ ni ndoto kuzipata na kazi kama hiyo unayosema ya kubeba pallets huwezi kuifanya mpaka uwe na leseni ya kuendesha forklift tena kwa ngazi kama conter ballance truck na reach truck.

Kazi ya "care assistant" au "support worker" ambazo wewe unasema ni za kuchamba wazungu ni kazi nzuri sana tena ndio zenye kipato cha maana kwa wale wenye uzoefu ambacho hata kama waziri (asiejishughulisha na wizi wa mali ya umma) au meneja wa kampuni hawezi kufikia mshahara wake.

Mkuu hio ndio inaitwa ughaibuni na upate nafasi uende utembelee watanzania sehemu mbalimbali na uachane na stories za watanzania ambao hawako "documented" na wamejitafutia matatizo wenyewe.

Tatizo mnafanya kazi ili mpate kipato kikubwa bila kutathmini hicho kipato kinakusaidia nini. Hapa namaanisha kama ni mbeba zege iwe Ulaya au Bongo exposure yako inaishia kwa wabeba zege wenzio ndo maana wengi mnajitapa mna vipato vya juu lakini matunda yake ni ulimbukeni wa kufikia Sea cliff (if you have money why can't you have your own appartment ukija ukafikia mpaka uipangishe?)

Mliojitutumua mkasoma tunaona hata input yenu maofisini haipo ndo maana mkirudi mkipata ajira wengi hamdumu bali kiinglish chenu kinawashawishi waajili malimbukeni ambao wanahisi hiyo ndo shule na wengine mnaishia kuogopa kazi, hapa nina mifano ya watu wenye vyeti vya huko nje lakini wanaishia kujimilikisha blog za udaku hapa nchini yaani hawana tofauti na kamera man Michuzi na wao wana vidigirii viwili wengine kimoja. Na wengine wanaona ujanja kufungua vi-pub na migahawa kwa bongo haziingizi kihivyo maana sio kipaumbele starehe kwa developing country yeyote ambapo wanachanganyikiwa na kujihusisha na biashara haramu kama drugs na maufisadi
 
Tatizo mnafanya kazi ili mpate kipato kikubwa bila kutathmini hicho kipato kinakusaidia nini. Hapa namaanisha kama ni mbeba zege iwe Ulaya au Bongo exposure yako inaishia kwa wabeba zege wenzio ndo maana wengi mnajitapa mna vipato vya juu lakini matunda yake ni ulimbukeni wa kufikia Sea cliff (if you have money why can't you have your own appartment ukija ukafikia mpaka uipangishe?)

Mliojitutumua mkasoma tunaona hata input yenu maofisini haipo ndo maana mkirudi mkipata ajira wengi hamdumu bali kiinglish chenu kinawashawishi waajili malimbukeni ambao wanahisi hiyo ndo shule na wengine mnaishia kuogopa kazi, hapa nina mifano ya watu wenye vyeti vya huko nje lakini wanaishia kujimilikisha blog za udaku hapa nchini yaani hawana tofauti na kamera man Michuzi na wao wana vidigirii viwili wengine kimoja. Na wengine wanaona ujanja kufungua vi-pub na migahawa kwa bongo haziingizi kihivyo maana sio kipaumbele starehe kwa developing country yeyote ambapo wanachanganyikiwa na kujihusisha na biashara haramu kama drugs na maufisadi
Yaani inferiority complex at its best!!
Just get a life.
 
Msitulaghai wakati tuna mfano hai hapahapa JF (The Big show - Le Mutuz) amekaa huko manchi yenu for years na anajigmba amesoma na anamaexposure lakini tunachoshuhudia ni misele kama pikipiki za Toyo. Hajulikani anaishi wapi maana kila siku kujinadi mara sijui Tabata au CVU, hajulikani ni under 18 au over 50 maana hata familia haitambui ukimsikia full stress mara shogangu Sinta, Joket aaagh yaani anapenda ofa na pati za kudoea ukimuona utafikiri chakuraaa.

Umesahau lingine kazi kushinda FB ili apate mialiko ya kula bata, jamaa anapenda dezodezo huyoo hajijui hata umri wake nilimsikia Nape akisema jamaa alimpa shikamoo siku moja kisa kunyenyekea ikamponyoka. Alafu linakwepa shikamoo kama nyani anavyokwepa mawe dah aibu hizi. Na kweli jamaa atakuwa labda msosi maana mwanaume gani kujichekeshachekesha na kupenda vya kudandia? Alafu elimu yake ilivyo haijamsaidia akiona tunamtolea mifano ya mapuuzi yeye anaona anapaishwa yaani yuko radhi amuhonge Shigongo aanze kumdaku na wamanzese wamjue.

Nakumbuka alipokuwa anatafuta umaarufu alikuwa anakuadd tu kwenye fb yake eti sasa na yeye analalamika watu wajitoe sasa mimi sikumuadd aliniomba nikamuaccept na siwezi jitoa labda anitoe mwenyewe, najisikia raha kulichora maana mijitu mingine inakupa raha ya ulimbukeni wake.
 
Tatizo mnafanya kazi ili mpate kipato kikubwa bila kutathmini hicho kipato kinakusaidia nini. Hapa namaanisha kama ni mbeba zege iwe Ulaya au Bongo exposure yako inaishia kwa wabeba zege wenzio ndo maana wengi mnajitapa mna vipato vya juu lakini matunda yake ni ulimbukeni wa kufikia Sea cliff (if you have money why can't you have your own appartment ukija ukafikia mpaka uipangishe?)

Mliojitutumua mkasoma tunaona hata input yenu maofisini haipo ndo maana mkirudi mkipata ajira wengi hamdumu bali kiinglish chenu kinawashawishi waajili malimbukeni ambao wanahisi hiyo ndo shule na wengine mnaishia kuogopa kazi, hapa nina mifano ya watu wenye vyeti vya huko nje lakini wanaishia kujimilikisha blog za udaku hapa nchini yaani hawana tofauti na kamera man Michuzi na wao wana vidigirii viwili wengine kimoja. Na wengine wanaona ujanja kufungua vi-pub na migahawa kwa bongo haziingizi kihivyo maana sio kipaumbele starehe kwa developing country yeyote ambapo wanachanganyikiwa na kujihusisha na biashara haramu kama drugs na maufisadi

Hivi wewe uliye Tanzania una nini cha zaidi?
 
Nilikuwa bongo mwezi mei wote. Hali bado inazidi kuwa mbaya, kuna nzi wengi mno na kila mwaka nzi ndio wanazidi kuongezeka. Usafi wa binafsi wa wabongo wengi upo chini sana ukiachia mbali watu ambao wana kipato kidogo. Majalala ya takataka yapo kila kona na kuna watu wengi vijana wanapekuapekua sijui kutafuta nini?

hapo hapo pembeni kuna kina mama wanawauzia misosi na sigara. Maduka uswahilini kila kona, kuna duka linauza sigara na vocha za voda tu, ukitoa 10,000 hata chenji hana.
Umalaya umezidi bongo, watoto wadogo tu wanauza kama hawana akili nzuri, hospitali chafu chafu sijawahi kuona. Maji hamna mpaka uchimbe kisima. Halafu watu usiku wanalala kwenye vibaraza vya nyumba za watu, wanajifanya walinzi na wanapewa blanket au shuka siku imeisha.
Yote tisa, kila mtu anakuomba hela, wanapigiana SMS kuywa kuna kampuni hapa baa njoo tupate kinywaji. Mtu ana kuintroduce kwa shemeji halafu anakupiga mzinga mbele ya shemeji yako bila aibu.
Halafu vijana wengi ni walevi na hawajui ku-dress up, yaani wapowapo tu. Mara vooh kwanini unakaa huko?... WTF?
Kwanini nikae bongo wakati nina uhalali wa kukaa states? are you fuj&^in serious???
 
Msitulaghai wakati tuna mfano hai hapahapa JF (The Big show - Le Mutuz) amekaa huko manchi yenu for years na anajigmba amesoma na anamaexposure lakini tunachoshuhudia ni misele kama pikipiki za Toyo. Hajulikani anaishi wapi maana kila siku kujinadi mara sijui Tabata au CVU, hajulikani ni under 18 au over 50 maana hata familia haitambui ukimsikia full stress mara shogangu Sinta, Joket aaagh yaani anapenda ofa na pati za kudoea ukimuona utafikiri chakuraaa.

Suzie,
Le Mutuz alikuwa fit hapo Newyork; ni utashi wake wa siasa ndio uliomrudisha bongo na jaribu kuelewa Mzee Malecela ameshakuwa mzee na Le Mutuz ndie kijana wake kiume hiyo ni lazima arudi apewe mikoba, unaposema familia haimtambui una maana gani? Kwasababu Mzee Malecela kila alipokuwa NY alikuwa anafikia kwa mwanawe Le Mutuz NY na siku mojamoja akitaka kupumzika nje ya NY huwa anakwenda Pasadena Maryland kwa dada yake Le Mutuz sasa unaposema familia hamitambui ni familia ipi?tatizo la hapa JF story Tom, Dick and Harry ndio nyingi; dada Suzie tupo fit hapa sijakutana na mbongo homeless aliyeshindwa na maisha; kama unataka kujua Le Mutuz anaishi wapi sema tukusaidie.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Msitulaghai wakati tuna mfano hai hapahapa JF (The Big show - Le Mutuz) amekaa huko manchi yenu for years na anajigmba amesoma na anamaexposure lakini tunachoshuhudia ni misele kama pikipiki za Toyo. Hajulikani anaishi wapi maana kila siku kujinadi mara sijui Tabata au CVU, hajulikani ni under 18 au over 50 maana hata familia haitambui ukimsikia full stress mara shogangu Sinta, Joket aaagh yaani anapenda ofa na pati za kudoea ukimuona utafikiri chakuraaa.
Yaani we huoni hata aibu kumzungumzia mtu binafsi ambaye maisha yake hayaku-affect?
Wasikulaghai kina nani? ... yaani uprimitive wako unaubeba kwenye mfuko wa nylon kila mtu anauona, kubwa zima hata aibu halina na unaonekana umekaa kishankupe kazi kufuatilia maisha ya watu tu. Kuna washikaji kibao bongo mambo yao mazuri, and I'm talking about a quarter billion ni%@s, na wala hawatuulizii maisha yetu tukirudi bongo, wanatuulizia kama tunataka tuhang nao maisha as in club.
So do yourself a favor and just watch!!!, when you see a playa shining, dining and wining..... just watch!!
 
Kinachotakiwa kwenye hii dunia ni kupata pesa na uishi maisha mazuri wewe na familia yako na usaidie jamaa zako, kukaa Ulaya, Marekani, Afrika, Asia, kwa unatengeneza pesa nadhani hakuna tatizo, kuna watu wametoka Australia, Holland, Canada, New Zealand, UK, US wanaishi Afrika Tanzania Geita, Kahama, Mwadui, Mwanza, wanafanya kazi kwenye migodi ya dhahabu na Almasi...kweli kuna Watanzania wapo Marekani na Ulaya wana maisha mazuri na wapo pia wana maisha mabovu mie nimewaona baadhi ya Watanzania UK MILTON KEYNES na Turkey Istanbul Buyukdere, wana maisha mabovu sana wanalala magheto.
 
Tatizo mnafanya kazi ili mpate kipato kikubwa bila kutathmini hicho kipato kinakusaidia nini. Hapa namaanisha kama ni mbeba zege iwe Ulaya au Bongo exposure yako inaishia kwa wabeba zege wenzio ndo maana wengi mnajitapa mna vipato vya juu lakini matunda yake ni ulimbukeni wa kufikia Sea cliff (if you have money why can't you have your own appartment ukija ukafikia mpaka uipangishe?)

Mliojitutumua mkasoma tunaona hata input yenu maofisini haipo ndo maana mkirudi mkipata ajira wengi hamdumu bali kiinglish chenu kinawashawishi waajili malimbukeni ambao wanahisi hiyo ndo shule na wengine mnaishia kuogopa kazi, hapa nina mifano ya watu wenye vyeti vya huko nje lakini wanaishia kujimilikisha blog za udaku hapa nchini yaani hawana tofauti na kamera man Michuzi na wao wana vidigirii viwili wengine kimoja. Na wengine wanaona ujanja kufungua vi-pub na migahawa kwa bongo haziingizi kihivyo maana sio kipaumbele starehe kwa developing country yeyote ambapo wanachanganyikiwa na kujihusisha na biashara haramu kama drugs na maufisadi


Je una ushahidi wa haya yote uliyoyaongea?

Unachoonesha hapa ni roho mbaya, chuki binafsi na kulalia milango ya wenzio wazi, na hiyo sentesi ya mwisho ndio inapigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza.
 
Tatizo mnafanya kazi ili mpate kipato kikubwa bila kutathmini hicho kipato kinakusaidia nini. Hapa namaanisha kama ni mbeba zege iwe Ulaya au Bongo exposure yako inaishia kwa wabeba zege wenzio ndo maana wengi mnajitapa mna vipato vya juu lakini matunda yake ni ulimbukeni wa kufikia Sea cliff (if you have money why can't you have your own appartment ukija ukafikia mpaka uipangishe?)

Mliojitutumua mkasoma tunaona hata input yenu maofisini haipo ndo maana mkirudi mkipata ajira wengi hamdumu bali kiinglish chenu kinawashawishi waajili malimbukeni ambao wanahisi hiyo ndo shule na wengine mnaishia kuogopa kazi, hapa nina mifano ya watu wenye vyeti vya huko nje lakini wanaishia kujimilikisha blog za udaku hapa nchini yaani hawana tofauti na kamera man Michuzi na wao wana vidigirii viwili wengine kimoja. Na wengine wanaona ujanja kufungua vi-pub na migahawa kwa bongo haziingizi kihivyo maana sio kipaumbele starehe kwa developing country yeyote ambapo wanachanganyikiwa na kujihusisha na biashara haramu kama drugs na maufisadi


Je una ushahidi wa haya yote uliyoyaongea?

Unachoonesha hapa ni roho mbaya, chuki binafsi na kulalia milango ya wenzio wazi, na hiyo sentesi ya mwisho ndio inapigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza.
 
Bongo kwanza tengezeni uwanja mzuri wa golf nzuri ndiyo watu wafikirie kurudi.

Gymkhana haina hadhi kabisa. Jengeni mwengine wenye hadhi ya kimataifa. Halafu jengeni barabara kubwa. Haya mambo ya kutoka Mbezi mpaka mjini kuchukua saa nzima hayawezekani. Time is money.

Huwezi mtu kupoteza muda umesimama kwenye foleni. Halafu jengeni hospitali zenye hadhi nzuri. Siyo leo ukitaka kung'oa jino mpaka uende South Africa. Mpo hapo nyie wazalendo?

we unaongeaje mkuu?, mbona nimesoma najiskia kutapika?
 
Back
Top Bottom