Rais Ni Lowassa, Waziri Mkuu Mwanamke

Rais Ni Lowassa, Waziri Mkuu Mwanamke

Ryaro wa Ryaro

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
2,659
Reaction score
1,430
Rais Wa JMT bila Kupepesa Macho na kuumaums maneno ni Mh. Edward.G.Lowassa Hadi sasa Tena kwa zaidi ya 70%.

Swali na taswiswi Imebaki,Je Mwanamke atachomoza kushika nafasi ya PM na je Ni nani?.

1.Halima Mdee.Chadema
2.Magdalena Sakaya..CUF.
3.Prof.Tibaijuka ...CCM. Kama iwapo watapata viti vingi bungeni.
 
Rais Wa JMT bila Kupepesa Macho na kuumaums maneno ni Mh. Edward.G.Lowassa Hadi sasa Tena kwa zaidi ya 70%.

Swali na taswiswi Imebaki,Je Mwanamke atachomoza kushika nafasi ya PM na je Ni nani?.

1.Halima Mdee.Chadema
2.Magdalena Sakaya..CUF.

3.Prof.Tibaijuka ...CCM. Kama iwapo watapata viti vingi bungeni.

Ukiniambia mmoja wao atakuwa Spika wa Bunge lijalo nitakusoma hasa Mdee.

 
Likivunjwa baraza watakuja wengi sn amabao kwa sasa wanafanya kazi uck tu kwa maneno ya pombe
 
Sikuwahi fikiri uko empty minded kiasi hiki!!

Sophia Simba awe PM kwa katiba ipi ilhali hagombei ubunge wakuchaguliwa?

Kwani kuna hoja ya maana hapo ya kuchangia!!
Mtoa mada kamtaja Tibaijuka wakati katiba hairuhusu mseto!!

Point yangu ilikua ni jibu la kipumbavu kwa hoja ya kipuuzi
 
Kwani kuna hoja ya maana hapo ya kuchangia!!
Mtoa mada kamtaja Tibaijuka wakati katiba hairuhusu mseto!!

Point yangu ilikua ni jibu la kipumbavu kwa hoja ya kipuuzi


Wewe ndo unaonekana mpuuzi uliyejawa upumbavu ndio maana hata vitu systematic unaona ni upuuzi na upumbavu!!!

Katiba ipi unayoisema? unajua katiba inatamka tu "waziri mkuu atatokana na chama chenye wabunge wengi" au hujui unaparamia tu habari kama mwewe?

Tibaijuka ni mgombea wa CCM na ikitokea CCM ikapata wabunge wengi ila ikakosa Urais hujui kikatiba itatoa waziri mkuu kwakuwa tu wana wabunge wengi??

Wewe juha kweli kweli unajifanyaga mjuaji kumbe ndezi mzee tu!!
 
Rais Wa JMT bila Kupepesa Macho na kuumaums maneno ni Mh. Edward.G.Lowassa Hadi sasa Tena kwa zaidi ya 70%.

Swali na taswiswi Imebaki,Je Mwanamke atachomoza kushika nafasi ya PM na je Ni nani?.

1.Halima Mdee.Chadema
2.Magdalena Sakaya..CUF.
3.Prof.Tibaijuka ...CCM. Kama iwapo watapata viti vingi bungeni.
wacha ndoto za mchana. ukawa na huyo mgombea wenu ikulu mtaiona na kuisikia kwa mbaliiii. sijui kwa nini hamjajaliwa uwezo wa kuelewa. watanzania wana akili ikulu sio pango la wezi.
 
Mnajadili mambo hata mto wenyewe bado hamjauvuka. Mnachekesha sana ukawa.
 
Kwani kuna hoja ya maana hapo ya kuchangia!!
Mtoa mada kamtaja Tibaijuka wakati katiba hairuhusu mseto!!

Point yangu ilikua ni jibu la kipumbavu kwa hoja ya kipuuzi

Swali la kipumbavu hujibiwa na jibu la kipumbavu.
Safi sana!
 
wacha ndoto za mchana. ukawa na huyo mgombea wenu ikulu mtaiona na kuisikia kwa mbaliiii. sijui kwa nini hamjajaliwa uwezo wa kuelewa. watanzania wana akili ikulu sio pango la wezi.

Watawachungulia tu wale tausi pale ikulu, ila hawaingii. Watanzania wengi tuna akili.
 
Lowassa ushindi kwa asilimia 70 to 85 pasipo kutia mashaka yoyote.
 
If walls could talk ..but it can never happen, if ....... become president, but it can never happen ..if, if.. ....... ..... if.
Mnafurahisha sana, tuwatakie kila la heri katika ifs zenu
 
Wewe ndo unaonekana mpuuzi uliyejawa upumbavu ndio maana hata vitu systematic unaona ni upuuzi na upumbavu!!!

Katiba ipi unayoisema? unajua katiba inatamka tu "waziri mkuu atatokana na chama chenye wabunge wengi" au hujui unaparamia tu habari kama mwewe?

Tibaijuka ni mgombea wa CCM na ikitokea CCM ikapata wabunge wengi ila ikakosa Urais hujui kikatiba itatoa waziri mkuu kwakuwa tu wana wabunge wengi??

Wewe juha kweli kweli unajifanyaga mjuaji kumbe ndezi mzee tu!!


Aisee shida ni nini?

Na huyo wa CUF aliyetajwa hapo juu?
Hivi inaingia akilini kuwa CUF itapata wabunge wengi kuliko CCM or CDM hadi awekwe hapo juu??
 
Back
Top Bottom