ellymzalendo
Member
- Sep 14, 2015
- 46
- 12
wacha ndoto za mchana. ukawa na huyo mgombea wenu ikulu mtaiona na kuisikia kwa mbaliiii. sijui kwa nini hamjajaliwa uwezo wa kuelewa. watanzania wana akili ikulu sio pango la wezi.
Mh!!!! kwani wanagombea wizi au urais??? maana mimi nimejiandikisha kupiga kura ya madiwani,wabunge na rais!..na nakupa siri yangu tu ukipenda ivujishe..NAMPIGIA LOWASA KURA YA URAIS ndo hayo...