:bange::msela:sasa hao wenzio ambao hawajawahi ona hii wangeionea wapi?. Jamani unaona post ambayo ushaiona, si unapita tu na kuipotezea kwani lazima uandike upuzi humu!. Na huyu Mwalimu wako huko darasani kazi anayo. Duh
:focus:
0:14 - Nice pen. 0:16 - Im gonna steal it. 0:19 - What should I do? 0:21 - Ill hide it under the table. 0:24 - Now what...? 0:26 - Ill put it in my pocket, no one will notice. 0:34 - Mission accomplished, man Im good. 0:40 - God damn box is still open, better close it.
:bange::msela:sasa hao wenzio ambao hawajawahi ona hii wangeionea wapi?. Jamani unaona post ambayo ushaiona, si unapita tu na kuipotezea kwani lazima uandike upuzi humu!. Na huyu Mwalimu wako huko darasani kazi anayo. Duh
:focus:
achana na mm wewe, try to be creative. uvivu, uzembe uzembe tu na ufinyu wa mawazo ya kufikiri kwa kina ndio unakufanya urudishe hapa topic za mwaka jana.
.....Na yule wa kwetu aliyeiba mgodi wenye thamani ya shilingi bilioni 7 na kujiuzia kwa milioni 7 tu. Ingekuwa raha sana kuona yote yaliyojiri alipokuwa busy ili kukamilisha wizi wake.