johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,150
Rais wa Zanzibar Dkt. Mwinyi amesema kuna viongozi wa upinzani ambao badala ya kuunganisha nguvu na kuijenga Zanzibar wao wamekuwa mstari wa mbele kuisema vibaya serikali.
Dkt. Mwinyi amesema yeye binafsi hatasimama hadharani kuwajibu viongozi hao wa upinzani.
Chanzo: ITV habari
Dkt. Mwinyi amesema yeye binafsi hatasimama hadharani kuwajibu viongozi hao wa upinzani.
Chanzo: ITV habari