Rais Museveni aagiza sheria ya ushoga kujadiliwa upya bungeni kunusuru uchumi wa nchi

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281
Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni ameagiza sheria mpya ya ushoga kujadiliwa tena bungeni ili kunusuru uchumi wa uganda.
Amesema sheria hiyo aliyoisaini imekwamisha miradi mingi ya kibiashara na nchi za magharibi.

Hivyo ametaka sheria hio kali ya ushoga kujadiliwa upya na amesema lazima masirahi ya nchi yawe kwanza.

Mkumbuke Museveni alikuwa kifua mbele kuunga mkono sheria kali ya ushoga na aliitetea kwa nguvu zote na pia alisaini uku akisema Uganda ina rasilimali haitegemei misaada nje .

Sasa hivi kaamua kuwa mdogo.
 
sasa wanajadili nini tena jambo kama hilo?

kwa sababu sheria waliyopitisha ilipingwa na nchi za magharibi na misaada ikafutwa na kupunguzwa hivyo imeathiri uchumi.

wanataka kujadili ili waitoe.Ninachoshangaa hapo Kabla Museveni alijitapa kuwa wao wana rasilimali za kutosha hawatobabaika.
 
Haiwezekani Jamaa ana msimamo Mkali...

Haiwezekan kivip wakati yeye ndio ametoa maagizo hayo.

Nilichogundua uchaguzi ni 2016 na mambo yanazidi kuwa magumu shilling inashuka na biashara za kimataifa zinasuasua.

Umasikin ni mbaya sana jamaa rohoni apendi kufanya hivi ila nchi tegemezi sana
 
Back
Top Bottom