Rais Mugabe Asema Acheni Kugombania Kiti Chake

Rais Mugabe Asema Acheni Kugombania Kiti Chake

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, amewataka wanasiasa kukoma mara moja kugombania kuhusu nani atamarithi.
Rais huyo mwenye umri wa miaka 91, amesema hayo katika kongamano la kila mwaka la chama tawala- Zanu-PF huko Victoria Falls.
Pia amevishutumu vikosi vya jeshi, Polisi na idara ya ujasusi kwa kuungana na wanaopigania wadhfa wa urais huku wakijadiliana kuhusu ni nani atakayechukua mahala pake.
Bw Mugabe amesema kuwa hakuna mabadiliko katika uongozi wa taifa hilo.
 
Back
Top Bottom