Rais mstaafu wa Marekani Bill Clinton atembelea Iringa

Rais mstaafu wa Marekani Bill Clinton atembelea Iringa

Pamwanya

Senior Member
Joined
Jun 19, 2013
Posts
173
Reaction score
23
Leo katika hali isiyo ya kawaida askari walitanda barabara kuania uwanja wa ndege wa Nduli mpaka ipogolo,kumbe kulikuwa na ujio wa rais mstaafu wa marekani,rais huyo aliwasili majira ya saa nne asubuhi na kuelekea kidabaga ambako inasemakana anamiliki kampuni la New forest ambalo lina eneo kubwa la miti wilaya ya kilolo
 
Safi sana. Anakaribishwa na kwetu kuwekeza maana zipo fursa kibao.
 
Leo katika hali isiyo ya kawaida askari walitanda barabara kuania uwanja wa ndege wa Nduli mpaka ipogolo,kumbe kulikuwa na ujio wa rais mstaafu wa marekani,rais huyo aliwasili majira ya saa nne asubuhi na kuelekea kidabaga ambako inasemakana anamiliki kampuni la New forest ambalo lina eneo kubwa la miti wilaya ya kilolo
Hiyo miti aliiotesha yeye au ameikuta imeota? Kama imeota yenyewe na anangojea kuvuna mbao huo uwekezaji unaozungumzia uko wapi? Hili halina tofauti na lile la bilionea aliyepewa ardhi na mahali pa kujenga PRIVATE HARBOUR" kule mtwara😇. Waswahili husema "WAJINGA NDIO WALIWAO".
 
Amepewa ulanzi anywe kidogo huko. Nachoshangaa kwa nini ziara ifichwe?
 
Nasikia hata Anorld Schwarzenegger naye kawekeza huko Summbawanga-Rukwa bonge la eneo analo. Huyu ndiyo Kiiwete bhana anauza nchi hivi hivi. This is too much katka uwekezaji.
 
Leo katika hali isiyo ya kawaida askari walitanda barabara kuania uwanja wa ndege wa Nduli mpaka ipogolo,kumbe kulikuwa na ujio wa rais mstaafu wa marekani,rais huyo aliwasili majira ya saa nne asubuhi na kuelekea kidabaga ambako inasemakana anamiliki kampuni la New forest ambalo lina eneo kubwa la miti wilaya ya kilolo

New Forest ina miliki zaidi ya Hekta 13,000 ambazo ilinunua kwa wanavijiji kwa bei ya kutupa kila hekta moja waliuziwa kwa shilingi 50,000 na walipewa hati miliki ya Ardhi kwa miaka 99.
Vijiji ambavyo NFC ilinyang'anya (ilinunua) ardhi kwa kushirikiana na viongozi wa vijiji ni
Idete
Isele
Lukosi
Ipalamwa
Kising'a
Ndengisivili

KUPEWA ARDHI KWA MIAKA 99 NI UNYONYAJI WA HARI YA JUU.
 
Nyela va nyalukolo mnoge! Mpeni ka mdindifu Iudodo aonje huyo Clinton
 
Toeni taarifa ambazo MNA uhakika nazo,Clinton hajaenda kutembelea new forest, ameenda kwenye shamba LA kuzalisha mahindi ya mbegu LA ngongwa .
 
ndio anaemiliki kampuni haramu ya mbegu monsanto au?
 
Pamoja na umiliki wake wa New Forest pia ina sadikika kuwa baadhi ya maeneoehemu hayo kuna dhahabu ya kutosha na ndio maana siku si nyingi serikali kupitia wakala wake wa barabara (tanroads) wataipiga mkeka kuanzia Ipogolo kupitia Kilolo, Kidabaga, Boma la Ng'ombe, Usokami na Mwisho itakuwa ni Mafinga. Wananchi wataambiwa huo ni utekelazaji wa malengo ya millenia lakini ukweli halisi ni changa la macho sababu anajiwekea mazingira mazuri ya miundombinu (barabara) ili wakati ukifika iwe rahisi kwa watu wake kwenda na kurudi bila shida yoyote.
 
Kuna watu wanatakiwa kukombolewa kifikra. Muelewe hilo, hapahapa TZ
 
"Jana Rais kanipigia simu kaniuliza navaa suti size gani ili aniletee zawadi kutoka Marekani"..DIAMOND PLATNUMZ
 
Pamoja na umiliki wake wa New Forest pia ina sadikika kuwa baadhi ya maeneoehemu hayo kuna dhahabu ya kutosha na ndio maana siku si nyingi serikali kupitia wakala wake wa barabara (tanroads) wataipiga mkeka kuanzia Ipogolo kupitia Kilolo, Kidabaga, Boma la Ng'ombe, Usokami na Mwisho itakuwa ni Mafinga. Wananchi wataambiwa huo ni utekelazaji wa malengo ya millenia lakini ukweli halisi ni changa la macho sababu anajiwekea mazingira mazuri ya miundombinu (barabara) ili wakati ukifika iwe rahisi kwa watu wake kwenda na kurudi bila shida yoyote.

kusadikika ndo nini? Njoo na hoja zilizothibitishwa
 
kanatafuta nini hako kazungu humu nchini kwetu??
dawa ni kukaroga tu,wanairinga fanyeni kweli!!
 
Back
Top Bottom