Rais Magufuli yupo sahihi kusema alichaguliwa na maskini; CHADEMA wamepotoka

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
16,003
Habari za muda huu,

Leo mchana kutwa nilikuwa nikipata ujumbe na alert kadhaa kutoka kwa vijana na wabunge walio kambi ya upinzani.Wengi walimnukuu Rais Dr.Magufuli akisema yeye ni "Rais aliyechaguliwa na masikini"kuna mambo kadhaa ya kujiuliza na kukumbuka kipindi cha kampeni ili kupata mwanga kwa vijana hasa wana CHADEMA wanaofikiri kuwa Rais amepotoka;

1.Je Magufuli au Lowassa ni nani aliyewahi kufanya kampeni Masaki?

2.Kwanini Lowassa alikunywa chai Tandale,kupanda daladala na sio kunywa chai Sea cleaf ambako ndio chimbo lake au kupanda shangingi na kupiga picha?

3.Nchi yoyote raia wenye mapato ya chini ndio walio wengi,ndio wapiga kura.Sasa mmeonjeshwa na Mzee Lowassa utamu wa matajiri naona wote mpo nyuma ya Zakaria,RA na wabadhilifu wote?

4.Hivi hamkumbuki JPM alishaongea na matajiri(wafanyabiashara wakubwa) ikulu? Na juzi alikuwa anaongea na wananchi halisi walioumizwa na bei ya sukari?

Kwa mrengo ambao CHADEMA wamechukua umaarufu utaporomoka kwa kasi kubwa.Jaribuni kwenda Mwembeyanga na hoja ya kumtetea Zakaria, siku zinaenda kasi sana.
 
Habari za muda huu.

Leo mchana kutwa nilikuwa nikipata ujumbe na alert kadhaa kutoka kwa vijana na wabunge walio kambi ya upinzani.Wengi walimnukuu Raisi Dr.Magufuli akisema yeye ni "Raisi aliyechaguliwa na masikini"..kuna mambo kadhaa ya kujiuliza na kukumbuka kipindi cha kampeni ili kupata mwanga kwa vijana hasa wana Chadema wanaofikiri kuwa Raisi amepotoka;

1.Je Magufuli au Lowasa ni nani aliyewahi kufanya kampeni Masaki?

2.Kwa nini Lowasa alikunywa chai Tandale,kupanda daladala na sio kunywa chai Sea cleaf ambako ndio chimbo lake au Kupanda shangingi na kupiga picha?

3.Nchi yoyote raia wenye mapato ya chini ndio walio wengi,ndio wapiga kura.Sasa mmeonjeshwa na Mzee Lowasa utamu wa matajiri naona wote mpo nyuma ya Zakaria,RA na wabadhirifu wote?

4.Hivi hamkumbuki JPM alishaongea na matajiri(wafanyabiashara wakubwa) ikulu?...na juzi alikuwa anaongea na wananchi halisi walioumizwa na bei ya sukari?

Kwa mrengo ambao chadema wamechukua umaarufu utaporomoka kwa kasi kubwa.Jaribuni kwenda mwembeyanga na hoja ya kumtetea Zakaria....siku zinaenda kasi sana..

Sijakuelwa mkuu umeongea kimafumbo mno
 
Tuiangalie Phillipines wapiga kura wengi ni walalahoi na ndiyo wanaomchagua Kiongozi ambaye yuko nao Moyoni na katika Matendo yanayoendana Nao.
 
7afe4f95adbc14c71b567efaa4e3001a.jpg
 
Back
Top Bottom