bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,688
Sina nia mbaya ila napenda kuonya na kushauri jinsi ya uteuzi wa mh.rais hasa kwa mawaziri wenye dhamana zinazowagusa maisha ya kila siku ya wananchi.
Uteuzi wa waziri wa fedha ndugu Mpango unapwaya kitendo cha kushindwa kutafuta vyanzo halisi vya mapato ya fedha na kukimbilia kutoza VAT kwenye mihamala ya pesa pasipokuzingatia mzigo tuliojitwisha sisi wananchi ni udhaifukubwa.
Sisi wananchi tunapenda kulipa kodi ila si kwa namna hii fikiria mfanyakazi anakatwa kodi mshahara, anakatwa benki, anakatwa akinunua bidhaa dukani sasa hizi kodi tatu zote za nini? Bado km ana gari akatwe road License, akatwe bima, akatwe bima matibabu, hivi nini hiki?
Pia ujue tunataka majibu ya nini kinatokana na vitu vifuatavyo:-
Gesi
Madini
Utalii(uwindaji)
Misitu
Uvuvi
Bandari
Viwanja vya ndege
Treni.
Wananchi tutafurahi kuona mchangokubwa ukitoka kwenye rasilimali za nchi kuliko kutukaba mpaka tunashindwa kukohoa.
Simple minds produced by bigmind..
Uteuzi wa waziri wa fedha ndugu Mpango unapwaya kitendo cha kushindwa kutafuta vyanzo halisi vya mapato ya fedha na kukimbilia kutoza VAT kwenye mihamala ya pesa pasipokuzingatia mzigo tuliojitwisha sisi wananchi ni udhaifukubwa.
Sisi wananchi tunapenda kulipa kodi ila si kwa namna hii fikiria mfanyakazi anakatwa kodi mshahara, anakatwa benki, anakatwa akinunua bidhaa dukani sasa hizi kodi tatu zote za nini? Bado km ana gari akatwe road License, akatwe bima, akatwe bima matibabu, hivi nini hiki?
Pia ujue tunataka majibu ya nini kinatokana na vitu vifuatavyo:-
Gesi
Madini
Utalii(uwindaji)
Misitu
Uvuvi
Bandari
Viwanja vya ndege
Treni.
Wananchi tutafurahi kuona mchangokubwa ukitoka kwenye rasilimali za nchi kuliko kutukaba mpaka tunashindwa kukohoa.
Simple minds produced by bigmind..