Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,467
--- Tungeanza kwa kuchukua passports zao ili wasijetoroka.
--- Rais angeunda tribunal maalum ya kusikiliza kesi ya economic sabotage ya namna hii. Rais asiachie mfumo wa kawaida wa mahakama. Aunde tribunal.
But all in all ile hotuba ya leo ni the best ever kuwahi kutolewa na mkuu wa nchi kwa kipindi cha miaka 20 iliyopia.
Mh. Rais amenifurahiaha kooote ila kwenye kukamata pasi zao za kusafiria ndio kidogo nadhani amesahau pamoja na kutengua hata uraia wao.
Haiwezekani kikundi cha watu kiingize nchi katika hasara ya trillions of shillings kama hizi alafu wastahili kuendelea kuwa raia wa nchi nzuri na yenye neema kama Tanzania.
Mkuu, nakushauri kamata passport zao kabla hawajakukimbia hawa watuhumiwa ikiwezekana revoke their right to be citizens.
Ninawasilisha.
--- Rais angeunda tribunal maalum ya kusikiliza kesi ya economic sabotage ya namna hii. Rais asiachie mfumo wa kawaida wa mahakama. Aunde tribunal.
But all in all ile hotuba ya leo ni the best ever kuwahi kutolewa na mkuu wa nchi kwa kipindi cha miaka 20 iliyopia.
Mh. Rais amenifurahiaha kooote ila kwenye kukamata pasi zao za kusafiria ndio kidogo nadhani amesahau pamoja na kutengua hata uraia wao.
Haiwezekani kikundi cha watu kiingize nchi katika hasara ya trillions of shillings kama hizi alafu wastahili kuendelea kuwa raia wa nchi nzuri na yenye neema kama Tanzania.
Mkuu, nakushauri kamata passport zao kabla hawajakukimbia hawa watuhumiwa ikiwezekana revoke their right to be citizens.
Ninawasilisha.