Rais Magufuli ungekamata 'passports' zao na kuunda 'tribunal' ingekuwa ni bora zaidi

Sasa kama Waziri wa Tanzania aliamua kufuta kodi inayopaswa kulipwa kutoka 15% mpaka 0% na Rais wake labda pamoja na baraza lote la Mawaziri likakubali, kosa la hako ''kakikundi kadogo'' linatoka wapi? Well, huenda wakawa na kosa ndio, lakini waliwekewa mazingira sahihi kutenda hayo.

Tunapaswa tujitizame wenyewe kama waTanzania. JPM anafanya vizuri sana lakini ifike mahala tugawane hizi lawama. Kama angeamua kuconfiscate passportS za hao unaowatajA, basi na bank accounts/assets za akina Chenge (kingpin kwenye kila deal ndefu la fweza Tanzania), Karamagi, Mkapa Ben, Kikwete, Dalali Kafumu, Werema na genge lote la wanaCCM lililoshiriki kupiga deals na wao wangepaswa kuwa dealt with the same amount of force. Magufuli kawa mpole kidogo kwenye hili maana huenda anajua blunders tumefanya wenyewe, tukianzia Bungeni ambapo na yeye alikuwepo.
Consultant
Ili twende vizuri katika vita hii siasa/Chama/vyama vya siasa tusivijumuishwe kwenye either utetezi au ushawishi.
Kila MTU ahukumiwe yeye kama yeye na pasitokee mwanvuli/cover yeyote ili kufanya utetezi.
Kuiingiza CCM ni sawa na kufatuta kichaka cha ambao unasema ni wahusika wakubwa kujificha ndani yake.
 
“Utakuta mtu anajidai anajua, mimi namwangalia tu kwa sababu wakati mwingine hajai kwenye kiganja changu.” — Andrew Chenge, mnyamaa
 
Acheni usanii..

CCM hii hii ndo ilipitisha hiyo mikataba, na serikali za CCM ndo zilikua madarakani wakati hii kampuni ilikuwa inafanya kazi ilihali haijasajiliwa Tanzania.
Katika kikao gani cha CCM hiyo ilipitishwa?
 
--- Tungeanza kwa kuchukua passports zao ili Tundu Lissu asiwatoroshe.
--- Rais angeunda tribunal maalum ya kusikiliza kesi ya economic sabotage ya namna hii. Rais asiachie mfumo wa kawaida wa mahakama. Aunde tribunal.

But all in all ile hotuba ya leo ni the best ever kuwahi kutolewa na mkuu wa nchi kwa kipindi cha miaka 20 iliyopia.

Mh. Rais amenifurahiaha kooote ila kwenye kukamata pasi zao za kusafiria ndio kidogo nadhani amesahau pamoja na kutengua hata uraia wao.

Haiwezekani kikundi cha watu kiingize nchi katika hasara ya trillions of shillings kama hizi alafu wastahili kuendelea kuwa raia wa nchi nzuri na yenye neema kama Tanzania.

Mkuu, nakushauri kamata passport zao kabla hawajakukimbia hawa watuhumiwa ikiwezekana revoke their right to be citizens.

Ninawasilisha.
Taaraba ni taarabu tuu ndugu iwe Modern au ya Asili zote taarabu.
sioni cha maana ktk hotuba ile hata MTU akenu meno eti kupongeza wezi wakijisifu kuwa tunawaibia mlikuwa hamhui upuzi mtupu!!

Eti Rais anasema ACCAIA watubu kisha wakitubu wakae mezani wazungumze kama wanataka kuendelea kutuibia basi tuwape sasa baraka rasmi are we Serious?

How come ukae na likampuni LA kitapeli lilioiba Mali za umma Kwa miaka Tisa halafu mkae mnagonga mvinyo mezani mnaongea nini??

Halafu mabogas yanapiga makofi eti tunapongeza juhudi zulizo chukuliwa kuokoa rasilimali za nchi maskini sisi sijui nani katuloga.

Hapa kuna mgongano Wa Maslahi ndio mana ishu iko hivo, Tunaacha kujadili huyu Fisadi aluyechimba Madini yetu Kwa na kuacha mashimo mpaka some times RAIA wakipita tuu ktk hiyo migodi wanapigwa Risasai ni nani hata Asikamatwe au hata kutajwa tuu tumjue eti mnapongeza MTU kuambiwa atubu wakae mezani waendelee kula nchi.
 
Unajua usichangie kitu kabla ujasoma report na pia ungemsikia Rais hotuba yake ndio ungejua ukweli alivyokuwa anasema.
 
--- Tungeanza kwa kuchukua passports zao ili Tundu Lissu asiwatoroshe.
--- Rais angeunda tribunal maalum ya kusikiliza kesi ya economic sabotage ya namna hii. Rais asiachie mfumo wa kawaida wa mahakama. Aunde tribunal.

But all in all ile hotuba ya leo ni the best ever kuwahi kutolewa na mkuu wa nchi kwa kipindi cha miaka 20 iliyopia.

Mh. Rais amenifurahiaha kooote ila kwenye kukamata pasi zao za kusafiria ndio kidogo nadhani amesahau pamoja na kutengua hata uraia wao.

Haiwezekani kikundi cha watu kiingize nchi katika hasara ya trillions of shillings kama hizi alafu wastahili kuendelea kuwa raia wa nchi nzuri na yenye neema kama Tanzania.

Mkuu, nakushauri kamata passport zao kabla hawajakukimbia hawa watuhumiwa ikiwezekana revoke their right to be citizens.

Ninawasilisha.
Wa kuwatorosha ni Tundu Lissu au Akina Chenge
 
Wakati na yeye pia alikuwa sehemu ya huo mfumo uliokuwa unapiga deals. Huyu jamaa sijui huwa anawazaga nini kwenye akili zake. Mleta mada atakuwa ana crack kwenye ubongo wake
 
Back
Top Bottom