Nshonzi
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 3,057
- 1,882
Ni kilo cha kila siku kwa mamilioni ya wa Tanzania juu ya utendaji usiyo kidhi kutupatia huduma ya umeme lkn bado serikali imelifumbia macho kama vile hakuna kinacho endelea.Sasa tunakuomba binafsisha hao wapiga dili wa Tanesco mgao wa umeme hauishi kila siku hadi watu tunaibiwa mali zetu kisa giza mitaani!